GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nyie si ni Wababe ( Wapigaji na Watesaji ) wa Raia sasa mbona hivi sasa mnajishtukia sana Mitaani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAAGIZO KUTOKA JUU, AMRI NI MOJANyie si ni Wababe ( Wapigaji na Watesaji ) wa Raia sasa mbona hivi sasa mnajishtukia sana Mitaani?
Pole sana kwa shemeji, naona hutaki kabisa kuwaacha jamaaaNyie si ni Wababe ( Wapigaji na Watesaji ) wa Raia sasa mbona hivi sasa mnajishtukia sana Mitaani?
shemeji ni excuse, you can plainly see the motive.cant u notice!!?Pole sana kwa shemeji, naona hutaki kabisa kuwaacha jamaaa
I cant, makengeza ya hali ya juu ninayoshemeji ni excuse, you can plainly see the motive.cant u notice!!?
Hao jamaa hakuna mtu wakuwatisha hata serikali nazani unakumbuka kipindi cha mabomu ya mbagala nini kilitokea
JAMII FORUMS KUNA MAFISINyie si ni Wababe ( Wapigaji na Watesaji ) wa Raia sasa mbona hivi sasa mnajishtukia sana Mitaani?
Tena kanali kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂Jeshi linakuwa na ujasiri wakati wa Amani tu,muda wowote Wananchi wakikinukisha Mabaka yote yanatalekezwa,Hebu fikiri,Mwanajeshi mmoja anauliwa na karaia kaendesha Bajaji,halafu baadae wanakuja Kikundi cha Wanajeshi,kweli,hapo si warudi tu tena mafunzo Upya,Muraaaaaa,uliwahi sikia neno VITA NI VITA MURAAAA