Kuna nini Kinaendelea Kawe mbona 'Mabaka Mabaka' wengi sasa wamekuwa Waoga, hawatembei hovyo Mitaani na wanatia Huruma?

Kuna nini Kinaendelea Kawe mbona 'Mabaka Mabaka' wengi sasa wamekuwa Waoga, hawatembei hovyo Mitaani na wanatia Huruma?

Hao jamaa hakuna mtu wakuwatisha hata serikali nazani unakumbuka kipindi cha mabomu ya mbagala nini kilitokea
 
Hao jamaa hakuna mtu wakuwatisha hata serikali nazani unakumbuka kipindi cha mabomu ya mbagala nini kilitokea
 
Jeshi linakuwa na ujasiri wakati wa Amani tu,muda wowote Wananchi wakikinukisha Mabaka yote yanatalekezwa,Hebu fikiri,Mwanajeshi mmoja anauliwa na karaia kaendesha Bajaji,halafu baadae wanakuja Kikundi cha Wanajeshi,kweli,hapo si warudi tu tena mafunzo Upya,Muraaaaaa,uliwahi sikia neno VITA NI VITA MURAAAA
Hao jamaa hakuna mtu wakuwatisha hata serikali nazani unakumbuka kipindi cha mabomu ya mbagala nini kilitokea
 
Jeshi linakuwa na ujasiri wakati wa Amani tu,muda wowote Wananchi wakikinukisha Mabaka yote yanatalekezwa,Hebu fikiri,Mwanajeshi mmoja anauliwa na karaia kaendesha Bajaji,halafu baadae wanakuja Kikundi cha Wanajeshi,kweli,hapo si warudi tu tena mafunzo Upya,Muraaaaaa,uliwahi sikia neno VITA NI VITA MURAAAA
Tena kanali kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom