Kuna nini kwenye kifo, Je ukifa unaenda wapi?

unaamini blindly
toa ushahidi kuwa yesu alikuwepo hapa duniani
Hahaha unachekesha sana buloo huwa unasherehekea christmas?pasaka?huo ni ushahidi tosha,pili unadhani ukristo umetokea wapi maana christianity comes from the word christ anyway andaa mada nipige shule ya kufa mtu
 
Hii dhana inanikunbusha miaka mingi nyuma nikiwa mtoto. Kulikuwa na wimbi la mihadhara hapa dar wale biblia in jibu na vikundi vingi vya kiislam. I was fond of mihadhara nulikuwa naifata umbali mrefu sana kusikiliza hoja, aya, ufundi nk. The biggest mistakes waliokuwa wanaifanya ni hii, kutumia baadhi ya mistari au maneno ktk kitabu wasichokiamini. Inakuwa hivi ukishatoa huo labda ufafanuzi wake huujui au unapatikana ktk nstari wingine ambao unaichalange imani yako unakuwa tayari uko ktk mtego
 
Baada ya kifo not hukumu" huwa abahukumiwa nani sasa kama unabaki mavumbini npka Yesu arudi?
Haina maana kuwa wafu baada kifo chao wanaingia kwenye hukumu laa maana wafu maandiko yanasema wafu hawajui neno lolote

Isipokuwa baada ya mtu kufa siku ya kufufuka kwake habari atakayokutana nayo ni hukumu tu maana kila case yake itakuwa imeshamriwa
 
Hahaha unachekesha sana buloo huwa unasherehekea christmas?pasaka?huo ni ushahidi tosha,pili unadhani ukristo umetokea wapi maana christianity comes from the word christ anyway andaa mada nipige shule ya kufa mtu
unipige shule wewe au mimi nikupe shule wewe
unajua chimbuko la christmas wewe?
unaijua origin ya pasaka?
neno christ limetokana na neno la kigiriki christus/christo
 
labda nikukumbushe kuwa mimi nilibatizwa
 
unipige shule wewe au mimi nikupe shule wewe
unajua chimbuko la christmas wewe?
unaijua origin ya pasaka?
neno christ limetokana na neno la kigiriki christus/christo
Tatizo unajifanya mjuaji while you know nothing andaa mjadala you and me nitakupiga tko mapema tu
 
unipige shule wewe au mimi nikupe shule wewe
unajua chimbuko la christmas wewe?
unaijua origin ya pasaka?
neno christ limetokana na neno la kigiriki christus/christo
Yote hayo nayajua kuliko unavyodhani najua utaleta mastory ya kina tamuz nk
 
Tatizo unajifanya mjuaji while you know nothing andaa mjadala you and me nitakupiga tko mapema tu
katika haya mambo kuweka mjadala na wewe ni sawa na kunitukana
go find your equals,you are not on my level
 
We thinks about death sema hatukijui for sure kipo vipi ila all in all kifo kinatisha wazee[emoji17]
 
Si kweli kwamba Kila chenye uhai kitakufa, Kuna wale watakaosalia siku ya mwisho wa dunia
 
Kufa ni km siku ambayo ulilala usingizi mzito sana bila kujitambua, sasa badala ya kuamka unakuwa ntolee hiyo, km hukuogopa wakati umelala basi huwez kuhisi chochote ukishakufa
 
Duh sema mtoa mada hapo ungefanya kwanza ujue nini mahana ya kufa nafkili ilo lingekupa tu mwangaza kwamahana aya mambo yako Kiimani sana kwaiyo ukitaka kupata jibu utakavywo wewe utajipeleka kwenye kufuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…