Kuna nini NIDA hadi vitambulisho havitoki tena?

Kuna nini NIDA hadi vitambulisho havitoki tena?

Nchi zetu changa zinapelekeshwa kila siku na ubeberu. Ukiwepo mpango wowote wenye maslahi kiuchumi kwa umma ila unakinzana na maslahi ya ubeberu au vikaragosi vyao unakwama.

Ni vigumu mtu kuamini sababu zinazotolewa kila siku kwanini mpango wa Serikali kuwapatia wananchi wake vitambulisho vyenye ubora mkubwa kukwama. NIDA kuna jambo.

Inaelekea kila Mkurugenzi mpya akiwekwa anakutana na jambo. Hebu niambieni mbona vitambulisho vya wapiga kura kwa ubora huo huo vinakamilika lakini vitambulisho vya Taifa vinasuasua. Kuna watu hawataki kila mtanzania atambulike kwa maslahi yao mabaya kwa taifa.

Ni muda sasa wa kutimua panya wanaotafuna mradi wa vitambulisho vya taifa usiende unavyotakiwa. Mabilioni yanapotea bila faida kamili iliyokusudiwa kwa mradi wa vitambulisho vya Taifa.
Kosa ni kutafuta Wakala NIDA kusimamia huo mpango,Wizara ya Mambo ya Ndani wanahusika sana katika hili,hivi Idara ya Uhamiaji kazi yake ni kukamata wahamiaji haramu na shughuli nyingine wakawaachia mawakala?
 
Nchi zetu changa zinapelekeshwa kila siku na ubeberu. Ukiwepo mpango wowote wenye maslahi kiuchumi kwa umma ila unakinzana na maslahi ya ubeberu au vikaragosi vyao unakwama.

Ni vigumu mtu kuamini sababu zinazotolewa kila siku kwanini mpango wa Serikali kuwapatia wananchi wake vitambulisho vyenye ubora mkubwa kukwama. NIDA kuna jambo.

Inaelekea kila Mkurugenzi mpya akiwekwa anakutana na jambo. Hebu niambieni mbona vitambulisho vya wapiga kura kwa ubora huo huo vinakamilika lakini vitambulisho vya Taifa vinasuasua. Kuna watu hawataki kila mtanzania atambulike kwa maslahi yao mabaya kwa taifa.

Ni muda sasa wa kutimua panya wanaotafuna mradi wa vitambulisho vya taifa usiende unavyotakiwa. Mabilioni yanapotea bila faida kamili iliyokusudiwa kwa mradi wa vitambulisho vya Taifa.
Kwani hukumsikia CAG kuhusu mradi huo?

Mradi ule una magumashi mengi na mkataba umeshamaliza muda huku supplier akiwa hajasupply nusu ya kadi na hakuna hatua zozote alizochukuliwa na aliyekuwa anajiita raisi wa wanyonge!
 
Vitambulisho havijatoka tokea 2018, na watu wameishia kupewa namba tu, hakuna cha ajabu, vitambulisho, NIDA, havikuwa priority ya mwendazake. KURA vilikuwa muhimu kwa maigizo yake ya uchaguzi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Tena huwa nashangaa sana, serikali kutumia resources kibao km.askari polisi, uhamiaji na magereza kukamata na kulisha wahamiaji haramu magerezani toka Ethiopia,ambao basically wenyewe huwa wanapitia Tz on tansit kuja huku SA....yaani wangekuwa labda wanawapa safe passage, Kwa kugongewa 2 passport zao waendelee kuja SA, manake huku SA huwa wanapokelewa kama refugees na kuruhusiwa kufanya biashara.....
Kosa ni kutafuta Wakala NIDA kusimamia huo mpango,Wizara ya Mambo ya Ndani wanahusika sana katika hili,hivi Idara ya Uhamiaji kazi yake ni kukamata wahamiaji haramu na shughuli nyingine wakawaachia mawakala?
 
Tena huwa nashangaa sana, serikali kutumia resources kibao km.askari polisi, uhamiaji na magereza kukamata na kulisha wahamiaji toka Ethiopia,wanapitia Tz on tansit kuja huku SA....target yao huwa ni SA wala hawataki kukaa Tz....yaani Tz wangekuwa labda wanawapa safe passage, Kwa kugongewa siku 5 passport zao waendelee kuja SA, manake huku SA huwa wanapokelewa tu kama refugees na kufanya biashara.....
Kosa ni kutafuta Wakala NIDA kusimamia huo mpango,Wizara ya Mambo ya Ndani wanahusika sana katika hili,hivi Idara ya Uhamiaji kazi yake ni kukamata wahamiaji haramu na shughuli nyingine wakawaachia mawakala?
 
Wamelizika na hizi namba walizotupatia Ila soon servers zao zitahackiwa na kututaka tukajisajili upya
 
Tena huwa nashangaa sana, serikali kutumia resources kibao km.askari polisi, uhamiaji na magereza kukamata na kulisha wahamiaji toka Ethiopia,wanapitia Tz on tansit kuja huku SA....target yao huwa ni SA wala hawataki kukaa Tz....yaani Tz wangekuwa labda wanawapa safe passage, Kwa kugongewa siku 5 passport zao waendelee kuja SA, manake huku SA huwa wanapokelewa tu kama refugees na kufanya biashara.....
Ni ajabu kubuni vitu ambavyo huna uhakika navyo
 
Nchi zetu changa zinapelekeshwa kila siku na ubeberu. Ukiwepo mpango wowote wenye maslahi kiuchumi kwa umma ila unakinzana na maslahi ya ubeberu au vikaragosi vyao unakwama.

Ni vigumu mtu kuamini sababu zinazotolewa kila siku kwanini mpango wa Serikali kuwapatia wananchi wake vitambulisho vyenye ubora mkubwa kukwama. NIDA kuna jambo.

Inaelekea kila Mkurugenzi mpya akiwekwa anakutana na jambo. Hebu niambieni mbona vitambulisho vya wapiga kura kwa ubora huo huo vinakamilika lakini vitambulisho vya Taifa vinasuasua. Kuna watu hawataki kila mtanzania atambulike kwa maslahi yao mabaya kwa taifa.

Ni muda sasa wa kutimua panya wanaotafuna mradi wa vitambulisho vya taifa usiende unavyotakiwa. Mabilioni yanapotea bila faida kamili iliyokusudiwa kwa mradi wa vitambulisho vya Taifa.
wameshajichokea .. mama anaupiga mwingi lakini
 
Back
Top Bottom