Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Hili jambo linanitatiza kidogo, Nchi ya Marekani haijulikani kama nchi maarufu kwa mchezo wa huo kipenzi cha wengi hapa Duniani soka ambao unaratibiwa na FIFA yenye makao yake Makuu huko nchini Uswisi chini ya Kiongozi wake wa siku nyingi
Bw.Sepp Blatter!
Sasa ni nini kimeisukuma Marekani kulivalia njuga hili swala la FIFA na viongozi wake? Na Je, ni kwamba imetokea tu sasa hivi au ilipangwa iwe hivyo ukizingatia ya kwamba FIFA wako mbioni kufanya Uchaguzi na Bw.Sepp Blatter mpaka sasa hivi ndio kipenzi cha wengi, sasa Marekani anashinikiza akamatwe, sasa kwa nini hili lihusu Marekani? FIFA haiko ndani ya ardhi ya Marekani, Sepp Blatter ni Raia wa Uswisi na siyo Marekani, na isitoshe Soka siyo mchezo maarufu Marekani kuweza kuifanya nchi hiyo ijiingize kwenye hili!
Je kuna uhusiano labda na FIFA kuipa Urusi nafasi ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2018? Ikizingatiwa ya kwamba kama Urusi ikipata hiyo nafasi basi itatumia kuonyesha Dunia mambo mazuri ya Urusi na hatimaye labda kujipatia Umaarufu Duniani kinyume na matakwa ya mayahudi ya Marekani?
Bw.Sepp Blatter!
Sasa ni nini kimeisukuma Marekani kulivalia njuga hili swala la FIFA na viongozi wake? Na Je, ni kwamba imetokea tu sasa hivi au ilipangwa iwe hivyo ukizingatia ya kwamba FIFA wako mbioni kufanya Uchaguzi na Bw.Sepp Blatter mpaka sasa hivi ndio kipenzi cha wengi, sasa Marekani anashinikiza akamatwe, sasa kwa nini hili lihusu Marekani? FIFA haiko ndani ya ardhi ya Marekani, Sepp Blatter ni Raia wa Uswisi na siyo Marekani, na isitoshe Soka siyo mchezo maarufu Marekani kuweza kuifanya nchi hiyo ijiingize kwenye hili!
Je kuna uhusiano labda na FIFA kuipa Urusi nafasi ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2018? Ikizingatiwa ya kwamba kama Urusi ikipata hiyo nafasi basi itatumia kuonyesha Dunia mambo mazuri ya Urusi na hatimaye labda kujipatia Umaarufu Duniani kinyume na matakwa ya mayahudi ya Marekani?