Kuna nini nyuma ya pazia? Mikufu wanayovaa members wa WCB yote inafanana

Rich mavoko alishalielezea hili mbona kwenye interview ni mawazo yenu mfu tu.
 
Washiriki tunao humu ndip maana nikauliza kama hujui kaa kimya watu wanajua mambo
Kwani humu tunaongea kwa debate hadi nikae kimya ..kukaa kimya kwangu ni simu kuisha charge [HASHTAG]#tupunguze[/HASHTAG] chuki
 
Kuna picha moja ya Nigeria hao jamaa walikua wakitaka kufanya mambo yao walikuwa wanasema ' The more you look, the less you see'.
 
Kwani humu tunaongea kwa debate hadi nikae kimya ..kukaa kimya kwangu ni simu kuisha charge [HASHTAG]#tupunguze[/HASHTAG] chuki
Sasa kama hujui dunia inavyoenda tukusaidiaje maana unajibu kwa hisia huku hujui kitu.. Pitia comment za wenzio uone wamefanya nn na wanajua nn
 
Uchochezi tuu
 
Yea,masonic indeed!
Ukweli mchungu
In this symbol the crown stands for victory over death. The symbol is also associated with Freemasonry, specifically the Knight Templar degree of the York Rite of Freemasonry. ... The cross and crown symbol is often surrounded by the phrase "In Hoc Signo Vinces", which is Latin for "By this sign thou shalt conquer".

Kwani hiyo mikufu ya hao WCB inafanana na huu? kama ni ndio basi pengine wanavaa kwa kujua ama kutokujua.
 
MKUU NIKUSHAURI TU
TAFUTA PESA ,HAO DABILIU SIBII
HATA UKIGINDUA NI MASHETAN
UTAKUA UMEPOTEZA MDA WAKO
TU KWASABABU SIDHAN KAMA
ITAKUSAIDIA..ACHANA NAO KAMA
NI MASHETAN NI NJIA WALIOCHAGUA WAO,
 
Sababu ni za msaada kutoka kwa watu wa........
 
Kuna kitu...... nabakiza akiba ya maneno
 
Mkuu wachina na wale wakorea wanavyozidi kutusua daily ni nini haswa wanachofanya!,Je wanakomalia vitu kama hivi au wanashughulisha akili zai plus kufanya kazi kwa bidii!! Ippfo mbitonyi!!!
 
mfanano wa hizo cheni uko wapi....au ulitaka wengine wavae cheni za pembe tatu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…