Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Kuna kipi kinaendelea ndugu zangu hapa Tanzania kinachopelekea kila kitu kiwe cha mgao?
Mfano umeme sasa ni anasa na huwezi kuupata bila kugawiwa. Maji hali kadhalika/kadharika!
Kwa nini ghafla tu tumekuwa watu wa mgao?
Mfano umeme sasa ni anasa na huwezi kuupata bila kugawiwa. Maji hali kadhalika/kadharika!
Kwa nini ghafla tu tumekuwa watu wa mgao?