Kuna nini Tanzania mbona kila kitu sasa ni mgao?

Kuna nini Tanzania mbona kila kitu sasa ni mgao?

Mfumuko wa Bei mpaka sasa unapambana na Chumvi tu,maana ndiyo haijapanda Bei.
Una dozen nzima ndani nini boss. Chumvi inapanda bei mbona pakti moja inaanza kuchukua bei ya sukari robo.
 
Kuna kipi kinaendelea ndugu zangu hapa Tanzania kinachopelekea kila kitu kiwe cha mgao?

Mfano umeme sasa ni anasa na huwezi kuupata bila kugawiwa. Maji hali kadhalika/kadharika!

Kwa nini ghafla tu tumekuwa watu wa mgao?!
Kila kitu kinatokana na Maji. Ukame wote huu bado unataka mambo yawe sawa. Mlivyo na roho mbaya mtaanza kuilaumu Serikali
 
Kila kitu kinatokana na Maji. Ukame wote huu bado unataka mambo yawe sawa. Mlivyo na roho mbaya mtaanza kuilaumu Serikali
Ufikiri huu ndio unaonyesha tuna watu wa namna gani, 60yrs watawala wetu na wataalamu wetu bado wanatuaminisha kuwa bila mvua maji hakuna hii ni uongo wa hali ya juu, majiji mengi duniani yanategemea mabwawa ya kuhifadhi maji ili yasaidie wakati wa ukame, why jiji letu la Dar wasingejenga mabwawa kama 4 hivi ya kutunza maji?,around Dar kuna mito ya fresh water, hii mito tungeielekeza kwenye mabwawa ili maji haya tuyavune, hatuwezi hadi leo tutugemee ruvu river kama main source ya maji, Capetown inategemea mabwawa ku supply maji why sisi hatufanyi kama wao,JHB maji yanatoka Lesotho!,why sisi tusichukue fresh water kutoka ziwa Nyanza?,mimi sio zuzu kabisa
 
Usikurupuke, Mimi nimecomment kuhusu mgao wa maji.
Nikuulize? Huko Israeli wanategemea mvua? Mbona ni taifa lenye ukame miaka nenda rudi, lakini hawana matatizo ya kipuuzi? Na ndio wanazalisha chakula kuliko hata Tanzania yenyewe. Na Misri je? Libya kipindi cha Gaddafi?
Mkuu, jamaa kauliza ina maana miaka 60 ya uhuru hatujawahi kujiongeza mpaka leo?
 
Kuna kipi kinaendelea ndugu zangu hapa Tanzania kinachopelekea kila kitu kiwe cha mgao?

Mfano umeme sasa ni anasa na huwezi kuupata bila kugawiwa. Maji hali kadhalika/kadharika!

Kwa nini ghafla tu tumekuwa watu wa mgao?!
Kuna mamá mmoja anaitwa BITOZO anaupiga mwingi.
 
Kila kitu kinatokana na Maji. Ukame wote huu bado unataka mambo yawe sawa. Mlivyo na roho mbaya mtaanza kuilaumu Serikali
Kwamba Serikali ni Kusifiwa tu Mambo yakienda Sawa ?

Unajua kuna watu wanakunja mishahara ili kutatua haya matatizo ?, Ambalo wala sio Jambo la Ajabu Ukame na kukosa mvua hakujaanza jana na kipindi hiki cha Tabia nchi inajulikana kabisa Yaani mvua zikiwa nyingi ndio unashangaa !!!
 
Mm ni ccm ila sielewi elewi hii serekali ya mam yaani

Niko zangu ndani najianda na mitini ya bod mara ghal umeme umekata na sijui urarudi. Saa ngapi
 
Kuna kipi kinaendelea ndugu zangu hapa Tanzania kinachopelekea kila kitu kiwe cha mgao?

Mfano umeme sasa ni anasa na huwezi kuupata bila kugawiwa. Maji hali kadhalika/kadharika!

Kwa nini ghafla tu tumekuwa watu wa mgao?!
Prince Makamba yuko kazini akitimiza wito wa Baba yake!

"Mtanikumbuka"...Magufuli
 
Ufikiri huu ndio unaonyesha tuna watu wa namna gani, 60yrs watawala wetu na wataalamu wetu bado wanatuaminisha kuwa bila mvua maji hakuna hii ni uongo wa hali ya juu, majiji mengi duniani yanategemea mabwawa ya kuhifadhi maji ili yasaidie wakati wa ukame, why jiji letu la Dar wasingejenga mabwawa kama 4 hivi ya kutunza maji?,around Dar kuna mito ya fresh water, hii mito tungeielekeza kwenye mabwawa ili maji haya tuyavune, hatuwezi hadi leo tutugemee ruvu river kama main source ya maji, Capetown inategemea mabwawa ku supply maji why sisi hatufanyi kama wao,JHB maji yanatoka Lesotho!,why sisi tusichukue fresh water kutoka ziwa Nyanza?,mimi sio zuzu kabisa
Boss hii nchi viongozi asilimia kubwa ni vilaza ,utalia Bure, average leaders, tutafika miaka 500 hivi hivi with zero development, wewe uliona wapi Taifa lolote duniani Lina tegemea kila kitu kije kifanywe na wawekezaji? , Kazi ya serikali na viongozi wake ilishakuwa kuongea, kuzuga , uzinduzi, michakato, ....mwishowe wana kuambia tume timiza ilani 100% , Mzee kingunge hakuwa mjinga kusema CCM imeishiwa pumzi, hiki chama agenda yake kubwa ilikuwa ni Kwa ajili ya ukombozi sio maendeleo, wata jitutumua lakini maendeleo hatuta yapata, Kwa sababu watu ni wale wale , elimu Ile ile , maarifa yake Yale , mbinu zile zile , uelewa ule ule na matokeo ni Yale yale.

Lowasa alipenda sana kusema msemo wa Mwl Nyerere,kuwa tuna hitaji mabadiliko tusipoyapata ndani ya CCM tutapata nje ya ccm, hii nchi inahitaji viongozi wa kimabadiliko na wenye uthubutu wa kuligeuza Taifa kutoka katika tabia ambazo tumezoe, na kufanya reforms katika elimu na uchumi, elimu yetu hii haitoi viongozi bora wenye maarifa ya kutosha kuliongoza Taifa hili.
 
Kila kitu kinatokana na Maji. Ukame wote huu bado unataka mambo yawe sawa. Mlivyo na roho mbaya mtaanza kuilaumu Serikali
Kwa nini Israel, Saudi Arabia, Oman na nchi nyingine kadhaa za jangwani hakuna shida ya maji au umeme??
 
Wanayabadili maji ya bahari na kuwa maji ya kunywa na matumizi mengine !!
Kwa nini Israel, Saudi Arabia, Oman na nchi nyingine kadhaa za jangwani hakuna shida ya maji au umeme??
 
Back
Top Bottom