Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Tahadhari!Niende moja kwa moja kwenye mada kengefu
Najua na nataka wote tukubaliane kwamba tuvae condom kwa usalama wetu na wale tunaowajali,
lakini kuna nyakatai, katika harakati zetu ovu za ngono, kitendo cha kuvaa condom kinaweza kuwa ni kigumu sana au hakiwezekaniki.
Mifano kengefu na potofu ni kama ifuatayo:
1. Kuna ule wakati unakutana na m-baby ambaye kakamilika idara zote alafu unapata ile imagination kwamba anaweza akawa na utamu wa kimataifa (hapa wengi wanauza roho);
2. Kuna ule wakati demu anatakiwa kuliwa kimasihara na ameshaenda kibra alafu condoms hauna na hazipatikani (hapa wengi tunauza mechi);
3. Kuna ule wakati uko kwenye game alafu condom inapasuka na unakaribia kilele cha mafanikio (hapa wengi tunatembelea rim mpaka mwisho);
4. Kuna ule wakati vyombo vimekwisha kaa mahali pake alafu unaamua tu kwa makusudi kuwaamini madakitari pori kwamba mafuta (vilainishi) yanasaidia kuzuia kama siyo kupunguza maambukizi;
5. Kuna ule wakati unapiga ramli kwa kuangalia sura na mwili na kukubali matokeo yoyote yajayo;
Kwa kweli mazingira ni mengi, tuendelee kutumia akili za juu wakati za chini zikiwa kazini
Under 18 msisome hapa!
Ngono (uzinzi na uasherati) kwa ujumla ni tendo ovu! Kwa mtu anayejitambua inakuwa ni ngumu kulifanya pamoja na msukumo wa tamaa ya mwili inapaswa uvishinde. Hata hivyo, ukiamua kufanya ngono, chukulia ni kitendo hatari cha kuhatarisha afya ya akili na mwili kwenu nyote wawili ikiwa kinafanyika nje ya utaratibu unaokubalika kwa jamii (tendo la ndoa; yaani kwa waliooana tu). Sasa pamoja na risk zoote utachukua tahadhari zoote na kuchagua mtu ambaye anastahili kubeba na kukubaliana na matokeo ya tendo hilo! Hivyo basi! Huwezi kula ndizi ikiwa imefunikwa na kimfuniko cha plastic (condom). Mpaka unafikia kufanya tendo hilo la hatari unakuwa umeishajitoa mhanga (umeisha jizima data) alafu unauziwa 'k' unalipa gharama zinazoambatana nazo huku umejifunika na mpira wa plastic? Huo ni ujinga kiwango cha SGR! BORA UACHE USIFANYE KABISA! UKIAMUA NGONO FANYA KAVUKAVU! "K" NI TAMU BWAANA UKIIGONGA KWA KUGUSANISHA NYAMA! Kutumia condom ni ujinga! Unaanzaje kutumia condom kwa mfano??? Mmmhh! Imekuchukua muda na gharama! Chuma hicho hapo kimekuvulia nguo, paja jeupe/au maji ya kunde na pingilipingili zake unapitisha mkono kiuno kinateleza!! Alafu unapata wapi ujasiri wa kufunika rungu na plastic? Mmmh? Unaanzaje kwa mfano? Hapo ni kuingiza na kuzamisha ndani ndo raha ilipo!