Kuna nyakati kuvaa condom ni kitendo kigumu sana au hakiwezekani kabisa

Tahadhari!
Under 18 msisome hapa!

Ngono (uzinzi na uasherati) kwa ujumla ni tendo ovu! Kwa mtu anayejitambua inakuwa ni ngumu kulifanya pamoja na msukumo wa tamaa ya mwili inapaswa uvishinde. Hata hivyo, ukiamua kufanya ngono, chukulia ni kitendo hatari cha kuhatarisha afya ya akili na mwili kwenu nyote wawili ikiwa kinafanyika nje ya utaratibu unaokubalika kwa jamii (tendo la ndoa; yaani kwa waliooana tu). Sasa pamoja na risk zoote utachukua tahadhari zoote na kuchagua mtu ambaye anastahili kubeba na kukubaliana na matokeo ya tendo hilo! Hivyo basi! Huwezi kula ndizi ikiwa imefunikwa na kimfuniko cha plastic (condom). Mpaka unafikia kufanya tendo hilo la hatari unakuwa umeishajitoa mhanga (umeisha jizima data) alafu unauziwa 'k' unalipa gharama zinazoambatana nazo huku umejifunika na mpira wa plastic? Huo ni ujinga kiwango cha SGR! BORA UACHE USIFANYE KABISA! UKIAMUA NGONO FANYA KAVUKAVU! "K" NI TAMU BWAANA UKIIGONGA KWA KUGUSANISHA NYAMA! Kutumia condom ni ujinga! Unaanzaje kutumia condom kwa mfano??? Mmmhh! Imekuchukua muda na gharama! Chuma hicho hapo kimekuvulia nguo, paja jeupe/au maji ya kunde na pingilipingili zake unapitisha mkono kiuno kinateleza!! Alafu unapata wapi ujasiri wa kufunika rungu na plastic? Mmmh? Unaanzaje kwa mfano? Hapo ni kuingiza na kuzamisha ndani ndo raha ilipo!
 
Mkuu umetupia madini mengi sana, upewe maua yako.

Mzee wetu Alhaji Ali Hassan Mwinyi alisemaga ugonjwa huu umekaa pabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…