Acha utumwa wa kifikra, ulivyo mshamba unashangaa mtanzania kutokujua kiingereza ila hushangai wageni wako kutokujua kiswahili!Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri
Acha izo mamboIli iweje boy?
Ukurugenzi unahusiana nini na Kiingereza?Sio kweli.haiwezekani uwe mkurugenzi halafu lugha nyepesi kama kiingereza ikupige chenga.
Piga chini wafanya kazi wote wa hapo wapelekwe Veta mpaka na huyo mkurugenzi wao wakasome ufundiHii nchi ina vituko sana.
Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.
Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Sawa hata hivyo hao wazungu wanapenda wajifunze kiswahiliHii nchi ina vituko sana.
Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.
Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Hao vijana wanaobeti wanaongeza kiingereza kizuri?Piga chini wafanya kazi wote wa hapo wapelekwe Veta mpaka na huyo mkurugenzi wao wakasome ufundi
Halafu chukua vijana wasomi waliojaa mitaani wanabeti wape hizo ajira
[SIZE=7]First of all wazungu wanapokuja huku lugha watakayoitumia iwe Kiswahili, Sisi tukienda kwao tutumie English. [/SIZE][SIZE=7]Kumanyoko zao.[/SIZE]Mkuu mbona Wachina hawajui Kiingereza tena utakuta Mchina ni Engineers kabisa, Au Mtaalamu wa Maswala ya Mafuta na gas lakini Kiingereza hajui, Utakuta anataka kwenda mjini anamwambia Dereva ampeleke mjini sasa lugha ya Kiingereza anayosema inafurahisha, utasikia ana Mwambia dereva Me you to Town( ana maanisha apelekwe mjini).Sio kweli.haiwezekani uwe mkurugenzi halafu lugha nyepesi kama kiingereza ikupige chenga.
Mkuu mifumo yetu ya kiutendaji ni ya lugha ya Kiingereza ina Maana kama hajui lugha atapata shida kusoma Mikataba au Barua na kujibu Email kutoka nje.Ukurugenzi unahusiana nini na Kiingereza?
Neno "Mkurugenzi" lina maana ya mtu anayesimamia au kuongoza taasisi, shirika, kampuni, au idara fulani. Kwa kawaida, mkurugenzi anakuwa na majukumu ya kufanya maamuzi makubwa, kusimamia rasilimali, na kuhakikisha malengo ya taasisi yanafikiwa.
Hakuna sehemu inayotakikana ili uwe mkurugenzi ujue kiingereza.
Lugha yetu ya taifa ni kiswahili. Kiingereza ni lugha ya biashara ya kimataifa.Hii nchi ina vituko sana.
Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.
Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,
Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Mbona wachina wengi hawajui kingerezaHii nchi ina vituko sana.
Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.
Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,
Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.