Wauzaji wa containers
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 615
- 1,443
Color or language is not attribute of intelligence.
A lot of maza faka they don't understand this sh*
A lot of maza faka they don't understand this sh*
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nchi nyingi za Ulaya zina lugha zao za taifa tofauti na Kiingereza. Lakini kwa nini wananchi mfano wa Ujerumani au Ufaransa wanaweza kuzungumza Kiingereza vizuri kuliko Watanzania! Ni kwa sababu wapo karibu na jamii za wazungumza Kiingereza huko Ulaya.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Sema kweli Kiingereza Bado ni Baba mkwe kwa graduates wengi wa nchi hii, sijui shida ni nini, hakuna kisingizio sijui lugha ya Taifa imefanyeje, sijui ni lugha tu kama zingine, ingekuwa hivyo basi tungesoma na kufanya research zetu kwa kisukuma au kiha au ku defend hizo thesis mbele za maprofessor kwa kizaramo.
hata kama mtu kasoma shule za Serikali lakini kuanzia kidato cha Kwanza mpaka Doctorate ni kimombo mwanzo mwisho sasa sijui wanashindwa nini, na walifaulu aje hawa watu kama kweli hawajui 🤔🤗
Ni aibu kwa kweli, Bora ambaye hakusoma ana la kujitetea, graduates either from university or college seriously 😳
Mkurugenzi ni cheo, si lazima iwe daraja la usomi. Ni nafasi ya uongozi inayotolewa kwa mtu kutokana na uzoefu, ujuzi, au sifa anazokidhi kwa mujibu wa taasisi au kampuni.Unajua mtu mpaka anakuwa Mkurugenzi Tanzania minimum education level mara nyingi ni Master's.
Sasa lijitu limekaa darasani linagundishwa kwa KIINGEREZA na kujibu kwa KIINGEREZA zaidi ya miaka 14 halafu halijui kuongea kiingereza.
Huu ni uhuni. Korea, China na wengine husoma kwa lugha zao. Kwahiyo msijitetee nyie mambumbumbu
Unajua mtu mpaka anakuwa Mkurugenzi Tanzania minimum education level mara nyingi ni Master's.
Sasa lijitu limekaa darasani linagundishwa kwa KIINGEREZA na kujibu kwa KIINGEREZA zaidi ya miaka 14 halafu halijui kuongea kiingereza.
Huu ni uhuni. Korea, China na wengine husoma kwa lugha zao. Kwahiyo msijitetee nyie mambumbumbu
Kingereza au kiingereza.Kinachosikitisha ni kwamba hata kiswahili kinatusumbua, sasa tunajua lugha gani kama sio kiswahili wala kingereza tunachojua.
Nyie mambumbumbu acheni kujitetea.unashanga mkurugenzi wa ofisi wakati rais wa China taifa kubwa duniani katika kila kitu na yeye pia hajui kingereza
Naunga mkono hoja.Nami nakushangaa kutokutambua hilo mapema kiufupi bongo kama hujasoma english medium primary ni ngumu sana kuwa competent kwenye kingereza maana shule za serikali hazina mfumo mzuri wa kujifunza kiingereza
Elimu Bora kutoka CCMHii nchi ina vituko sana.
Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.
Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,
Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Kingereza au Kingereza, ni wewe tu na maamuzi yako.Kingereza au kiingereza.
Hadi EU Kuna nchi hawatumii Kiingereza. Ukienda na Kingeregeja unatoka kapaLakini huko uchina hawatumii kingereza popote, sio mtaani wala mashuleni/vyuoni. Sio ajabu kwa mchina, mjerumani, mrusi..nk ila ni ajabu kwa mtanzania kwa sababu ni lugha ameitumia kupata maarifa.
Nami nakushangaa kutokutambua hilo mapema kiufupi bongo kama hujasoma english medium primary ni ngumu sana kuwa competent kwenye kingereza maana shule za serikali hazina mfumo mzuri wa kujifunza kiingereza
Kwani kuna shida wapo tanzania na tanzania lugha kuu inajulikana ni kiswahili wewe ndio mwenye shida ulipaswa kuwauliza mapema na uandae mazinga rafiki ili mambo yaende sawaHii nchi ina vituko sana.
Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.
Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,
Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Haya bana ndio umekuja kutudhalilisha huku...Mbona kawaida tu, baada ya yote kiingereza sio kipimo cha kuwa na akili nyingi. Ni kimatumbi cha wazungu tu.
Kama mpaka wana ofisi ya hadhi ya kutembelewa basi ni wazi kiingereza hakina umuhimu kwao.
Inaeleweka kwao, kwa sababu lugha zao zimejitosheleza kuanzia mtaani hadi kwenye taaluma. Leo hii jaribu kumfundisha mtoto wako somo la kemia au fizikia kwa kiswahili ndio utajua kama kiswahili kinajitosheleza au vipi.Hadi EU Kuna nchi hawatumii Kiingereza. Ukienda na Kingeregeja unatoka kapa