Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Sema kweli Kiingereza Bado ni Baba mkwe kwa graduates wengi wa nchi hii, sijui shida ni nini, hakuna kisingizio sijui lugha ya Taifa imefanyeje, sijui ni lugha tu kama zingine, ingekuwa hivyo basi tungesoma na kufanya research zetu kwa kisukuma au kiha au ku defend hizo thesis mbele za maprofessor kwa kizaramo.
hata kama mtu kasoma shule za Serikali lakini kuanzia kidato cha Kwanza mpaka Doctorate ni kimombo mwanzo mwisho sasa sijui wanashindwa nini, na walifaulu aje hawa watu kama kweli hawajui 🤔🤗
Ni aibu kwa kweli, Bora ambaye hakusoma ana la kujitetea, graduates either from university or college seriously 😳