Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

Hii nchi ina vituko sana.

Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.

Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,

Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Umewasaidia lakini?
 
Na kiingereza chako umeajiriwa unalipwa na asiyejua kiingereza. Ujinga
 
Hii nchi ina vituko sana.

Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.

Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,

Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Mwisho wa siku wewe umeajiriwa na wasiojua kingereza wana office yao mpaka mnapeleka wageni wenu.
 
Mbona kule UN viongozi wa mataifa makubwa kama China na Russia hawaongei kiingereza? Ni viongozi wetu tu ndo wakifika kule wanalazimika kuongea inglishi kwasababu za kimakusudi kutokuwa na wakalimani wa kiswahili.
Kataa utumwa mwanangu!
images - 2025-03-12T224317.212.jpeg
 

Attachments

  • images - 2025-03-12T224317.212.jpeg
    images - 2025-03-12T224317.212.jpeg
    77.3 KB · Views: 1
Hii nchi ina vituko sana.

Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.

Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,

Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Sasa ww kyagata kwa michango yako himu jamvini ndio wakucheka wenzanko kwa kutuelewa kinge kweli?!
 
Sio kweli.haiwezekani uwe mkurugenzi halafu lugha nyepesi kama kiingereza ikupige chenga.
Yaani wewe umesoma lakini bado una kaujinga fulani kwenye akili yako.

Kila mtu kwenye soma yake ana unique historical background. Wakati kwako kiingereza ni kirahisi mwingine kijapani ndiyo rahisi kwake.

Cha mwisho, punguza wivu yaani unaji-proud na kiingereza lakini umeajiriwa kama KO (Kazi za Ovyovyo) hapo ofisini. Wenzako ni wakurugenzi wewe endelea kunusa makalio ya wazungu na kubeba mafaili. Period!


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Lakini huko uchina hawatumii kingereza popote, sio mtaani wala mashuleni/vyuoni. Sio ajabu kwa mchina, mjerumani, mrusi..nk ila ni ajabu kwa mtanzania kwa sababu ni lugha ameitumia kupata maarifa.
alitumia kupata maarifa sio kuwasiliana
 
Nyie mambumbumbu acheni kujitetea.
Uchina lugha rasmi ni kichina, lugha ya kusomea darasani ni Kichina.
Tanzania lugha ya kusomea ni KIINGEREZA.
Mkurugenzi minimum education level ni Master's.
Master's kuipata lazima usote darasani miaka kumi na ushehe ukisoma kwa KIINGEREZA, kwanini aogope kuongea kiingereza?
Elimu duni za kuungaunga.
bro hivi unajua hao wanaowasiliana kwa kingereza huwa wanafeli hilo somo??? wewe na wenzio mnachoshindwa kujua ni kwamba kuna kingereza cha kusomea (cha darasani) na kingereza cha kuwasiliana ni vitu viwili tofauti

kiswahili unaongea kila siku lakini ukiambiwa uelezee kitenzi shirikishi ni nini au rejesta za hotelini ni zipi hujui

kutokujua english na ukiwa umesoma sio umbumbumbu
 
unashanga mkurugenzi wa ofisi wakati rais wa China taifa kubwa duniani katika kila kitu na yeye pia hajui kingereza
Nilichokuja kubaini kwenye swala la lugha tusijilinganishe na mataifa kama China, Russia hawa watu wanatumia lugha zao mashuleni, Sisi watanzania tunatumia kiingereza sekondari na chuo so miaka yote hyo haiwezekan usiongee hyo lugha
 
Hii nchi ina vituko sana.

Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.

Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,

Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Acha ushamba wewe...Ndio Maana Wazungu wanawaona mazumbukuku....China, Urusi ushasikia wana shobo na kingereza hao wazungu wangetakiwa waongee kiswahili
 
Ingependeza kama huu uzi ungeuporomosha kwa umombo wa kimarekani...
 
Back
Top Bottom