Kuna ongezeko kubwa la maambukizi ya VVU kwa wasichana wenye umri wa miaka 15-24 Tanzania

Kuna ongezeko kubwa la maambukizi ya VVU kwa wasichana wenye umri wa miaka 15-24 Tanzania

Dawa ya huu ugonjwa ni kukata funding completely, the more you fund it, the more it prevails…

Huwezi kukata fund , you may think it is for benefit ya nchi zetu but not

Hata wao wana benefit,wanapokupa fund wanakupa na predefined conditions za kununua hizo dawa from WHO prequalified Pharmaceutical manufacturers…. And wanafanya audit kuhakikisha the fund is circulating within their own system , there is no free lunch !

Dawa mnazotumia TZ Ni regimen za zaman sana. Zipo Dawa za HIV ambazo zinatumia nanotechnology, release yake ni slow over time , unameza one tablet for HIV, you stay 6 months ndio unameza cha pili for the next 6 months …… kwa American na EU, HIV is no longer an issue

Huko kwenu kwa Kalumanzila bado mnatumia zile ART za 30 tables for every month with lots of combination based on CD4 level , zinaua snaa figo na ku risk obesity

TZ is still a very poor country msidanganyaje , hakuna any development. I can appreciate Kagame kidogo na Kenya
TZ is very poor county’s kuanzia kwenye health setting system pamoja na infrastructure.Nchi nyingi hata mambo ya ujenz wa barabara hukuti hayo mambo yamefanyika miaka hiyo, kwa sasa ukiingia TZ Utasema uhuru umepatikana jana


I wonder viongozi hawaonagi aibu kuwapitisha wakuu wa nchi nyingine kwenye mabarabara ya hapo Dar , wakat wao wakienda kama Korea huko nchi za kawaida tu , njian ni kapeti tu miji misafi, mipangilio ya miji, huwa najiulizaga sana wanakuwaga na ukauzu gani kupitisha wakuu wengine kwenye hayo mabarabara ya ufisadi, au ndio
Wanajizima data ? Shame
No way
 
Huwezi kukata fund , you may think it is for benefit ya nchi zetu but not

Hata wao wana benefit,wanapokupa fund wanakupa na predefined conditions za kununua hizo dawa from WHO prequalified Pharmaceutical manufacturers…. And wanafanya audit kuhakikisha the fund is circulating within their own system , there is no free lunch !

Dawa mnazotumia TZ Ni regimen za zaman sana. Zipo Dawa za HIV ambazo zinatumia nanotechnology, release yake ni slow over time , unameza one tablet for HIV, you stay 6 months ndio unameza cha pili for the next 6 months …… kwa American na EU, HIV is no longer an issue

Huko kwenu kwa Kalumanzila bado mnatumia zile ART za 30 tables for every month with lots of combination based on CD4 level , zinaua snaa figo na ku risk obesity

TZ is still a very poor country msidanganyaje , hakuna any development. I can appreciate Kagame kidogo na Kenya
TZ is very poor county’s kuanzia kwenye health setting system pamoja na infrastructure.Nchi nyingi hata mambo ya ujenz wa barabara hukuti hayo mambo yamefanyika miaka hiyo, kwa sasa ukiingia TZ Utasema uhuru umepatikana jana


I wonder viongozi hawaonagi aibu kuwapitisha wakuu wa nchi nyingine kwenye mabarabara ya hapo Dar , wakat wao wakienda kama Korea huko nchi za kawaida tu , njian ni kapeti tu miji misafi, mipangilio ya miji, huwa najiulizaga sana wanakuwaga na ukauzu gani kupitisha wakuu wengine kwenye hayo mabarabara ya ufisadi, au ndio
Wanajizima data ? Shame
No way
Sio tu kuua FIGO na kusababisha obesity, ARV mara nyingine zinasababisha LIPODYSTROPHY, au MUSCLE WASTING, AU FAT WASTING kwenye kichwa na mashavu na mikono na miguu.

Mwili unakonda na kusinyaa kwa baadhi ya maeneo.

Unakuta mtu ana tumbo kubwa halafu kakonda mikono na uso. Anakuwa kama KINYAMKERA.

ZIDOVUDINE 😁😁😁

Wale MADOKTA UCHWARA wamekaririshwa wanakwambia "hiyo ni side effect ya kawaida".

This is not a SIDE EFFECT!!! It is a FATAL EFFECT, An irreversible damage.

Figo likifa sio side effect, ni tiketi ya kwenda kwa BABA.

Cc: dronedrake

Aione kwenye jalada: NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Dkt. Gwajima D DR Mambo Jambo
 
Sio tu kuua FIGO na kusababisha obesity, ARV mara nyingine zinasababisha LIPODYSTROPHY, au MUSCLE WASTING, AU FAT WASTING kwenye kichwa na mashavu na mikono na miguu.

Mwili unakonda na kusinyaa kwa baadhi ya maeneo.

Unakuta mtu ana tumbo kubwa halafu kakonda mikono na uso. Anakuwa kama KINYAMKERA.

ZIDOVUDINE 😁😁😁

Wale MADOKTA UCHWARA wamekaririshwa wanakwambia "hiyo ni side effect ya kawaida".

This is not a SIDE EFFECT!!! It is a FATAL EFFECT, An irreversible damage.

Figo likifa sio side effect, ni tiketi ya kwenda kwa BABA.

Cc: dronedrake

Aione kwenye jalada: NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Dkt. Gwajima D DR Mambo Jambo
Nadhani ulimaanisha Stavudine, hiyo ni regimen ya zamani sana ya dawa, miaka ya 90's mpaka late 2000's. Ni miaka mingi sana imeacha kutumiwa mkuu, siku hizi hata huwezi kujua mtu. Watu wanakaa miaka 30+ na wapo fit.
Shida mapombe, ulaji wa ovyo, kuendekeza zinaa (unajiongezea virus strain zilizochangamka zaidi) na msongo wa mawazo vinapelekea haya madude mengine.
Nakuhakikishia wanaofeli figo zaidi waala si wenye HIV, ni hawa wa maradhi yasiyoyakuambukiza. Sasa ukiongezea na kirusi, basi..ticket ya express kaburini
 
Maambukizi ya VVU miongoni mwa wasichana wenye umri wa miaka 15-24 yameongezeka kwa kiwango cha kutisha, kwa mujibu wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (Tacaids).

Kulingana na takwimu, maambukizi ya VVU kwa wasichana katika kundi hili la umri yameongezeka kutoka asilimia 14 katika kipindi cha 2016/17 hadi asilimia 30 katika kipindi cha 2022/23.

Kulikuwa na kupungua kwa maambukizi miongoni mwa makundi mengine ya umri isipokuwa kundi la umri wa miaka 15-24, na kwa sasa, Watanzania 1,548,000 wanaishi na VVU.

Kaimu mkurugenzi mtendaji wa Tacaids, Dkt. Jerome Kamwela, alisema wanaume wakubwa, hasa wenye umri kati ya miaka 30 na 60, wamebainika kuwa sababu kuu ya kuongezeka kwa maambukizi miongoni mwa wasichana wadogo.

Alisema kuna haja ya kuzingatia suala hili kwa umakini katika jamii, akibainisha kwamba si wasichana tu bali pia wavulana wa kundi hilo la umri wapo kwenye hatari kubwa kutokana na mazingira yanayohimiza mahusiano ya kingono kati ya watu wa rika tofauti.

====================For English Audience Only=====================
Alarm as HIV prevalence doubles among girls aged 15-24 years in Tanzania

HIV incidences among young girls aged 15-24 years have alarmingly doubled, according to the Tanzania Commission for AIDS (Tacaids).

According to statistics, HIV infections among girls in this age group have increased from 14% in the 2016/17 period to 30% in 2022/23.

There was a decrease across other age groups except the 15-24-year population, and as of now, 1,548,000 Tanzanians are living with HIV.

Tacaids acting executive director, Dr Jerome Kamwela, said older men, specifically between 30 and 60 years, have been identified as a major contributing factor to the rising prevalence among young girls.

He said serious attention is required at the societal level, noting that not only girls but also boys in the same age group pose significant risks due to environmental factors that encourage sexual relationships between individuals of different age groups.
Si wanapenda faranga, ngoja wafe.
 
Bila shaka hiki kizazi cha sasa hakijapata vizuri elimu kuhusu huu ugonjwa na jinsi unavyo ambukiza,

Itolewe elimu kuanzia huko Mashuleni,wazazi nao watoe elimu kwa watoto wao kuhusu huu ugonjwa,

Kumuambukiza ugonjwa binadamu mwenzako kwa makusudi ni sawa na kumuua,hasa kwa hawa vijana ambao hawana elimu kuhusu huu ugonjwa,hata ukiambukiza watu,wewe haitokusaidia kitu,kila mtu ajilinde na amlinde mwenzake.
 
Nadhani ulimaanisha Stavudine, hiyo ni regimen ya zamani sana ya dawa, miaka ya 90's mpaka late 2000's. Ni miaka mingi sana imeacha kutumiwa mkuu, siku hizi hata huwezi kujua mtu. Watu wanakaa miaka 30+ na wapo fit.
Shida mapombe, ulaji wa ovyo, kuendekeza zinaa (unajiongezea virus strain zilizochangamka zaidi) na msongo wa mawazo vinapelekea haya madude mengine.
Nakuhakikishia wanaofeli figo zaidi waala si wenye HIV, ni hawa wa maradhi yasiyoyakuambukiza. Sasa ukiongezea na kirusi, basi..ticket ya express kaburini
Hayafai hayo maARV ni mabaya, nina case studies za kuona kwa macho na sio kusoma kwenye majarida ya medical school.

Ama ni zidovudine au sijui hiyo stivodine na matakataka mengine ni sumu tupu ambazo hazifai kumpa hata mbwa!

Kabla hujafa kwa UKIMWI lazima figo ikuue, Kinga za mwili zichakazwe na sumu na madhara mengine mabaya sana.
 
Hayafai hayo maARV ni mabaya, nina case studies za kuona kwa macho na sio kusoma kwenye majarida ya medical school.

Ama ni zidovudine au sijui hiyo stivodine na matakataka mengine ni sumu tupu ambazo hazifai kumpa hata mbwa!

Kabla hujafa kwa UKIMWI lazima figo ikuue, Kinga za mwili zichakazwe na sumu na madhara mengine mabaya sana.
Life time ya mtu anayetumia ARV ipoje madam
 
Ukimsoma vizuri mtoa mada, inaonekana wanaambukizwa zaidi watoto/mabinti wenye miaka 15-24 na jinsia me wa umri 30-60, watu wenye umri wa kuweza kuwa baba zao 🙂 Tafsiri ya moja kwa moja ni tuna pedophiles wamejaa kurubuni watoto/mabinti
Miaka 30 na 24 kuna utofauti?
 
Back
Top Bottom