Kuna pombe Serena Hotel inauzwa Millioni 15

ila watu mnajua kutishana kwenye haya maisha mbona pale vtu bei ya kawaida kabsa Local bia n 5000 mshikak mmoja 5000 chps kavu 10000 uyo aliekula ad kuacha bond gar alkula mamba au
 
mimi ndio nitakuwa sijakuelewa au mtoa mada ndio umechemk? hiyo $3.7 milion unamaanisha nini?

sawa na bilioni zaid ya saba za tz au ndio tsh milion 3.7?
 
Kwahiyo kwa bei hiyo maanake ukinywa hulewi au unalewa sana...?
 
Limekaa kama fuvu la wasukuma
 
Iyo ni Tsh 15000/= asikutishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…