siwezi kutumia kijiko alicholia mwengine....
Kwanini kuna baadhi ya wanaume hupenda kutoa ubikra (siyo ya kichina) kwa wanawake/mabinti wakati siku ya hiyo shughuli huwa na usumbufu na kelele za maumivu wakati wa mchakato? Je ni kweli mwanamke hawezi kumsahau mwanaume/mvulana aliyemtoa bikra? Je ni kweli kuna uwezekano mkubwa kwa mwanaume huyo kupewa 'mechi ya kirafiki' hata kama mwanamke ameolewa?
Kwanini kuna baadhi ya wanaume hupenda kutoa ubikra (siyo ya kichina) kwa wanawake/mabinti wakati siku ya hiyo shughuli huwa na usumbufu na kelele za maumivu wakati wa mchakato? Je ni kweli mwanamke hawezi kumsahau mwanaume/mvulana aliyemtoa bikra? Je ni kweli kuna uwezekano mkubwa kwa mwanaume huyo kupewa 'mechi ya kirafiki' hata kama mwanamke ameolewa?
Nitakuwa nimefaidika kwa kujua saikolojia ya walengwa!
Duh. We kweli mutant. Kwahiyo we unafungua kitu kwenye nylon? Kitu original! Hehehe. Kuna mchina bana, waweza kutambua?
Halua aina makombo.....