dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Hpn mkuu siyo kila kitu unapuuza Wenda Yuko serious ndio Mana nimekuja huku nijue Kama kun wanofahamuWe nae ushaona tapeli, bado unataka kuchati nae, huna kazi ya kufanya?
Kifupi huo ni aina ya utapeli.
Kumbe Ni mpuuz kila mtu anamtumia viujumbeniljua kwangu tuπ€£π€£
π€£π€£π€£πUtafanya kikazi uchwara then utata utakuja kwenye kulipwΓ .. kuipata hela utaambiwa utume hela.
ndio,,ata mim alinitumia af analazimisha sasaKumbe Ni mpuuz kila mtu anamtumia viujumbe
Ngoja nimpige tofauli faster sitaki ujinga mmndio,,ata mim alinitumia af analazimisha sasa
m nilimpa kavu tu wala staki kujaza idad ya watu nlowalima kitofaliNgoja nimpige tofauli faster sitaki ujinga mm
ata usiskitike bwan,,sema tu upewe connectionHivi kumbe inawezekana kutafutwa na mtu usiyefahamiana naye na akahitaji na kukuajiri kabisa..!!!! Β‘
WATU MNA SIRI SANA. ππ½ ππ½ ππ½
Nimeishia hapo " I am work at HR"Nimetumiwa ujmbe kwa njia ya Whatsapp kwa namba zinazo anzia na +62 ambazo hata sijui Ni za nchi gani na kunieleza kuwa yey Ni HR manager na anataka kunipa ajira ya kuweza kuingiza kias Cha shilingi laki moja had laki 5 kwa kufanya Kaz atakazo nipangia yeye
Je huu si utapeli
Je Kuna Rai ambae amewai fanya Kaz na huyu agent au Ni tapeli la kimataifa
Naweka screen shot alizonitumia
View attachment 2972525
Daah naomba connection mkuu,, utakuwa umenichomoa ndani ya shimo lenye misumari ya kila aina π’ata usiskitike bwan,,sema tu upewe connection
Hakuna mtu serious hapo huyo ni TP usipoteze muda.Hpn mkuu siyo kila kitu unapuuza Wenda Yuko serious ndio Mana nimekuja huku nijue Kama kun wanofahamu
ila inabid utapeliwe kwanz je upo tayar?πDaah naomba connection mkuu,, utakuwa umenichomoa ndani ya shimo lenye misumari ya kila aina π’