Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
I'm work at ndio nini?
Hapo hujashtuka tu
Hapo hujashtuka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekanyaga sna mafuta aiseeMuulize umetoa wapi namba zangu?
Ila kama ulienda kwenye maombi na ukakanyaga mafuta ili upate kazi, hapo ndio unajibiwa uyo ni malaika kakuletea fursa
Tap to unblock mkuu 😂 😂 😂Wezi tu hao...
View attachment 2972569
Wanakera sana. Mtu unawaza ufanye nini ghafla kimeseji cha utapeli kinaingia..... unatamani awe karibu mzabe kibaoNaona wewe hutaki mzaha mzaa
🤣 Nikitapu unblock nitamshushia mitusi ya kiswanglish atajutaaaaTap to unblock mkuu 😂 😂 😂
😁 😁 😁 🙌🏽🙌🏽🤣 Nikitapu unblock nitamshushia mitusi ya kiswanglish atajutaaaa
😛 Hizo namba za Indonesia....... wanadhani wabongo tumelala😁 😁 😁 🙌🏽🙌🏽
😅😅✊🏾😛 Hizo namba za Indonesia....... wanadhani wabongo tumelala
Hizo no ni za Asia huko china,Singapore etc.Hpn mkuu siyo kila kitu unapuuza Wenda Yuko serious ndio Mana nimekuja huku nijue Kama kun wanofahamu
Siyo kila kitu nagoogle mm hat Muda SinaMzee umeshindwa ata kugugo kujua hiyo ni country code ya nchi gani ....tukiwambia unatuketea chai utalalamika?
Ndio umechanganyikiwaIkataibu mkuu unal
Umeona thread yako maneno uliyoandika kuja huku JF kuuliza???.. umeandika essay kuelezea huo utapeli .... Kwamba Huku ndio Una Mda Sio .!? Ila wabongo bhana [emoji23][emoji23][emoji23]Siyo kila kitu nagoogle mm hat Muda Sina
Hakuna utapeliNimetumiwa ujmbe kwa njia ya Whatsapp kwa namba zinazo anzia na +62 ambazo hata sijui Ni za nchi gani na kunieleza kuwa yey Ni HR manager na anataka kunipa ajira ya kuweza kuingiza kias Cha shilingi laki moja had laki 5 kwa kufanya Kaz atakazo nipangia yeye
Je huu si utapeli
Je Kuna Rai ambae amewai fanya Kaz na huyu agent au Ni tapeli la kimataifa
Naweka screen shot alizonitumia
View attachment 2972525
Hapo anakutapeli nini !!???VIP niendele kuchati nae au nimlime tofali zito
Daah mkuu mbona unaingia ngoma mbovu sana ukiletewa zile ngoma ngumu si utauza hata nyumba ya urithi...VIP niendele kuchati nae au nimlime tofali zito
Kikubwa umeshajua na kushitukia dili.VIP niendele kuchati nae au nimlime tofali zito