Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

unataka kamselelekoπŸ˜‚toa upewe bwan kaz ina hela sana io
Huu ni utapeli wa kujihalilishia mwenyewe kabisa,, hapana kwa kweli 😁😁😁😁
 
Muulize umetoa wapi namba zangu?
Ila kama ulienda kwenye maombi na ukakanyaga mafuta ili upate kazi, hapo ndio unajibiwa uyo ni malaika kakuletea fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…