Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Mnyonge mnyongeni lakini haki yke mpeni aisee Rais samia amefanya mengi sana kwa muda huu mfupi mpka watu wameshangaa kwa hayo mazuri aliyoyafanya japo aliikuta nchi katika hali ngumu lakini aimetendea haki nafasi yake kama Rais kwa 4R zake zimeleta matunda yake aisee.
Mpaka wapinzani wanamsifia na hakuna Rais ambaye mpaka wapinzani wanamsifia kwa kuupiga mwingi wakuu niambie Rais gani ambaye wapinzani anasifiwa Rais yupi? Niambieni wakuu aisee! Hongera Rais samia kwa kuupiga mwingi
Rais samia kipenzi cha WaTanzania wanyonge na walala hoi ametoa mabilioni mengi kwa wakati mmoja kuhudumia waTanzania wengi Rais,Rais kipenzi cha wanyonge na masikini
Hongera Rais samia,Tumpe kura 2025 atuvushe na atutoe kwenye umasikini
0747740747.
Mpaka wapinzani wanamsifia na hakuna Rais ambaye mpaka wapinzani wanamsifia kwa kuupiga mwingi wakuu niambie Rais gani ambaye wapinzani anasifiwa Rais yupi? Niambieni wakuu aisee! Hongera Rais samia kwa kuupiga mwingi
Rais samia kipenzi cha WaTanzania wanyonge na walala hoi ametoa mabilioni mengi kwa wakati mmoja kuhudumia waTanzania wengi Rais,Rais kipenzi cha wanyonge na masikini
Hongera Rais samia,Tumpe kura 2025 atuvushe na atutoe kwenye umasikini
0747740747.