Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Hii ndio kazi yake, naamini analipwaTafuta kazi ya kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio kazi yake, naamini analipwaTafuta kazi ya kufanya
Hukufikiria wakati unaandika weweMnyonge mnyongeni lakini haki yke mpeni aisee Rais samia amefanya mengi sana kwa muda huu mfupi mpka watu wameshangaa kwa hayo...
Unaujua ukweli lakini umeamua kuwa mjinga na mpumbavu Ili ujidanganye wewe mwenyewe na nafsi yako...Mnyonge mnyongeni lakini haki yke mpeni aisee Rais samia amefanya mengi sana kwa muda huu mfupi mpka watu wameshangaa kwa hayo mazuri aliyoyafanya japo aliikuta nchi katika hali ngumu lakini aimetendea haki nafasi yake
Njaa zakijinga sana hizi mzee yani unaanzaje kumsifia mtu? Yupo pale kwa mujibu wa sheria na katiba na yupo kazini na kazi yake ni kutuhudumia wananchi, sasa ukisifia pia kosoa akikosea.K
umsifia mtu ni njaa? 😂😂😂