Kuna ramli kuwa Mdee na wenzake 18 watasamehewa

Kuna ramli kuwa Mdee na wenzake 18 watasamehewa

Mzalendo120

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
2,410
Habari ya kazi wana jukwaa.

Kuna habari zinatembea sana mitandaoni kwamba kesho kwenye sherehe za siku ya wanawake duniani ambapo BAWACHA wataadhimisha siku hiyo mkoani kilimanjaro na mgeni rasmi atakua mh.Rais Samia Suluhu Hasan.
Watu wengi sana wanadai itakua nisiku rasmi pia kuwasamehe akina Mdee kwakigezo cha maridhiano. Ikiwa hivyo sio mbaya maana maridhiano ni jambo jema

Swali langu
Je nikwanini watu hawafikirii kwamba akina Mdee wataenda kusamehe ubunge wao na kuamua kuomba msamaha kwa viongozi wao na wanachama wa chama chao.
 
Kwani kusamehewa Kuna taabu gani? Taabu ni kubarikiwa kwa waliyoyafanya.

Ninadhani wakiomba msamaha wasamehewe ila siyo kubarikiwa.
 
kinyume chake kwa maana waache ulaji,kizembe zembe tu waache kiinua mgongo cha bunge.kama wangekua na moyo huo wangefanya zamani!.
 
Mumewe yupi? Huu mchepuko au tumbili?
Kuna jamaa nikiongozi hapa kwenye chama chao amewahi kuhojiwa na Mtozi nyanda nadhani akasema yeye anaafiki mke wake afukuzwe chama. Akasema hakuna uhusiano wa mambo ya chama na mambo ya familia
 
Kuna jamaa nikiongozi hapa kwenye chama chao amewahi kuhojiwa na Mtozi nyanda nadhani akasema yeye anaafiki mke wake afukuzwe chama. Akasema hakuna uhusiano wa mambo ya chama na mambo ya familia
Kuna uhusiano mkubwa Sana Kati ya Mambo ya chama na familia.
Niwe chadema halafu waif anijazie Madera ya kijani ndani ya nyumba yangu? Labda Kama Mimi sio mkurya.
 
Wewe unatulliza sisi mambo ya wale wajinga wa chadema sisi tunajuaje
Wajinga wangekaa Meza moja na RAIS? MJINGA UTAKUWA WEWE usiyejua Umuhimu wa Chadema kwa Serikali ya Ccm Bila Upinzani Hakuna Mikopo
 
Kuna uhusiano mkubwa Sana Kati ya Mambo ya chama na familia.
Niwe chadema halafu waif anijazie Madera ya kijani ndani ya nyumba yangu? Labda Kama Mimi sio mkurya.
Hahaaa vita haina macho murrra
 
Back
Top Bottom