Kuna rocket imetumwa huko angani ikagonge mwamba unaohatarisha kugonga dunia

Tumtukuze bwana Mungu wetu....
 
Asante .
 
Hawajaugonga tu?
 
Sawa hilo ni kwa upande mmoja.

Ila vipi kuhusu matetemeko ya ardhi, tsunami, Magonjwa n.k, je yule 'aliyeitengeneza Dunia' anakuwa amepitiwa?.

Na je vipi kama kujilinda na kuchukua tahadhari pia ni sehemu ya majukumu aliyowapa waishio Duniani?.

Mimi huwa baada ya kuwaza hivyo ulivyowaza hapo lakini pia huwa najaribu kuwaza na upande wa pili.
 
Walishindwa kupambana na Corona iliyopo Duniani wameleta propaganda ya Jiwe sasa hivi hao NASA ni kutisha tuu kila kukisha bila kufanya tafiti za kujiridhisha lile lingine sijui liliishia wapi...
 
Walishindwa kupambana na Corona iliyopo Duniani wameleta propaganda ya Jiwe sasa hivi hao NASA ni kutisha tuu kila kukisha bila kufanya tafiti za kujiridhisha lile lingine sijui liliishia wapi...
Wakiugonga ukapasuka pasuka vipande vidogo vidogo ndo litakuwa balaa zaidi maana watashindwa kuvicontain
 
Wewe ni mental case...
Na huyu unayemwamini sasa, sio wao waliokuletea ?
 
Wakiugonga ukapasuka pasuka vipande vidogo vidogo ndo litakuwa balaa zaidi maana watashindwa kuvicontain
Ni kweli, ni bora wangetuma Solid Rocket Booster kwenda kulisukuma hadi ahera.
 
Wewe ni mental case...
Na huyu unayemwamini sasa, sio wao waliokuletea ?
Wewe ndiye mental case usiyeweza ku-connect the dots.Na si unajua Rais ameagiza Wizara ya Afya ifanye Utafiti kuhusu Afya yenu ya aKili na ushababi maana hamko vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…