Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Watu Wana vituko kweli kweli Mkuu,yaani anajua kabisa kitu anakitetea hakina mantiki ila atashupaza shingo kisa hekaya za waarabu zinasema jua huzama kwenye chemchemu za matope,na kama ilivyo ada mambo ya dini ni zaidi ya Opium ya Afganistan Kwa wataliban basi ataamini hivyo hivyo na kusema aamin!Sasa sayansi tena leo mnaipiga kiwiko wakati moja ya sifa ambazo mnatumia kuipamba quran ni kuonesha mambo ya sayansi yaliyoelezwa ndani ya hicho kitabu?
hahahahaah Labda nasa Sio NASA nayoijua Mimi,Na sisi Tz/Africa tuunde 'NASA' yetu.
Ila we jamaa hiki ulichokiandika ingekua ni mwezi april ningesema unafanya prankingSimu ni uhalisia kijana na Sayansi yenye matatizo hasa ni Sayansi ya anga,japo kwa ujumla wake Sayansi inashindwa kwenye hitimisho. Soma nilichokiandika hapo juu.
Naishi katika ulimwengu wa Sayansi na napata ugali kupitia huko ila kuna matatizo na uongo mwingi sana.
Nani anasema hizi habari ?Sasa sayansi tena leo mnaipiga kiwiko wakati moja ya sifa ambazo mnatumia kuipamba quran ni kuonesha mambo ya sayansi yaliyoelezwa ndani ya hicho kitabu?
Hivi katika hii mada ulivyo isoma hujajiuliza chochote kuhusu ukweli wa mada husika au umependa stori na picha ?
Mimi nilivyo soma hii mada cha kwanza nilianza kuhoji au kujiuliza juu ya picha ukiangalia kwa umakini hizo picha ni picha bunifu hakuja picha hata moja ambayo ni halisi.
Kingine kuhusu vipimo na utoaji wa majina na maelezo ya jambo husika,maelezo yanaonyesha ya kuwa wahusika hawana maarifa sahihi juu ya anga na vilivyomo. Swali la msingi nililo jiuliza ni kuwa wametumia mchakato gani kujia ukubwa wa hilo jiwe ?
Nani wa kwanza kutambua uwepo wa jiwe hilo na ilikuwa lini na alijuaje kuhusu jiwe hilo ?
NyinyiNani anasema hizi habari ?
Nina kichwa chepesi sana kuelewa na kushika mambo. Hili ondoa shaka.Ngoja nikuelekeze kisha tusipoelewana utajua mwenyewe.
Safi kabisa nashukuru kwa kukiri kwako ya kuwa hizo ni taswira bunifu.Nimefuatilia hoja zako za picha na madai ya maigizo na hitimisho langu ni kuwa wewe umejikita kwenye picha ambazo ni za kutengeneza ili kumpa taswira rahisi ya uelewa msomaji asiye mwanasayansi na ukatoa hitimisho kuwa ni maigizo.
Hoja hii haina haja ya kuletewa dots wala nini ni jambo la kueleweka wazi wala halihitaji signals,ni sawa sawa na wanavyolezea maji kwa mujibu wa kemia jambo ambalo maji ni kitu naarufu na hakihitaji kiarifisho (definition) ya kisayansi ndiyo maana wanakosea.Sasa mfano tukiachana na picha ukatumiwa namna wanavyogundua kuwa sayari fulani ina mazingira yanayofanana na dunia ukaletewa zile namba, dots na signals ungeelewa?
Mfano wako haingii hapa sababu sharti la kwanza ni mtu husika amemdiriki mtu husika na wala hapakuwa na haja ya kumchora mtu huyo. Na ushahidi huu hauna mashiko mpaka muhusika adirikiwa yaani picha hufanana na watu hufanana pia. Kwahiyo akiyemuona fulani lazima akamuonyeshe huyo fulani.Umeshawahi kuona mtu akihojiwa polisi akawa anatoa maelezo ya namna mhalifu alivyo halafu kuna mtu anamchora, kisha baada ya hapo inatoka picha inayofanana na mhalifu jinsi alivyo?
Ngoja nikusaidie kitu kimoja ushawah kuthibitisha au kuhakiki ya kuwa kuna chombo chochote kimewahi kufika kwenye sayari nyingine ? Au unaweza kuthibtisha juu ya uwepo wa Sayari nyingine zaidi ya Dunia ?Sasa hizi taarifa zinazotumwa na vyombo vya anga ni mfano wa huyo mtu na kuna wachoraji wanaochora ili taswira ya picha itokee kurahisisha ile taarifa.
Najua.Unajua kuwa ubongo wako unatafsiri vipi kuwa huyu ni mtu fulani baada ya kumwangalia?
Hizi stori achana nazo jikite katika hoja ya msingi.Bila wewe kujua kwa haraka sana ubongo wako unapima alama za urefu wa pua, upana wa mdomo, umbali kutoka pua na mdomo, upana wa paji la uso, mzunguko wa jicho n.k kisha unatoa hesabu kamili na kutuma taarifa za utambuzi kuwa huyu ni fulani ila wewe unachoona ni taswira ya picha yenye rangi ambayo unatengenezewa na huo huo ubongo ili kukurahisishia huo utambuzi.
Hizi stori mzee achana nazo jenga hoja na kosoa hoja na hakiki hoja na thibitisha hoja.Rangi unazo wewe sio ile object au mtu unayemuangalia. Ubongo wako kupitia macho yako unageuza namba na taarifa za kitu ili wewe ukitambue kwa mfumo wa rangi na picha au tuseme video. Sasa hichi ndicho wakifanyacho wanasansi mpaka unaziona picha ambazo unahisi ni maigizo.
Usiidharau teknolojia na kuiita maigizo,nilikuwa nafuatilia historia ya ugunduzi wa ndege kuna watu walikuja na theory kuwa binadamu angetakiwa kupaa angezaliwa na mabawa tuache kumkufuru muumba. Leo binadamu wanapaa.
Wapi huko ? Ushawahi kuona wapi mimi nikiongelea habari hizi ?Nyinyi
Usilolijua in usiku was giza.Uongooo
Usilolijua ni usiku was giza.Kumekucha...
Masihi wanayemwandaa kwa haya masafari yao feki ni mpinga Kristo aliyetabiriwa kwenye Biblia au ndo wanataka kusingizia kuwa Yesu karudi mara ya pili kupitia haya maroketi yao?
Umenifurahisha sana mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwani lazima uwe wewe?Wapi huko ? Ushawahi kuona wapi mimi nikiongelea habari hizi ?
Usiku wa giza kivipi?Usilolijua ni usiku was giza.
Hao wanaenda kufanya milipuko yao ya kuharibu zaidi Dunia huku wanatudanganya eti wamezuia lijiwe lisigonge Dunia. [emoji1787][emoji23][emoji1787] Kwahiyo wameahirisha mwisho wa dunia[emoji1787][emoji23]. Ndo maana joto linazidi Duniani wakati yuko mkorea akili pua kwenye. Maji wao wanalipua angani. Blood fucken this pipoWaache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???
Sasa kama tofali ni kubwa kuliko Dunia. Eti wanatuma kifaa kilichotoka Duniani kikagonge hilo. Lidubwana. [emoji849][emoji1787][emoji848][emoji848]. Si litakivuruga hiko kifaa chenu chenye ukubwa hata hafiki wa nchi moja.... Au wanamabomu mazito ya kuvunja hilo lijiwe ambalo ni kubwa snaaaa kiasi kwamba Dunia ni kama mchanga???Kuhusu matofali huko angani yapo kweli..
Dunia NI "kamchanga "kadogo sana ukilinganisha na hyo mitofali
Uliposema nyinyi mimi umenitoaje katika tamko nyinyi ?Kwani lazima uwe wewe?
hapana.hayo mawe yapo mengi.Sasa kama tofali ni kubwa kuliko Dunia. Eti wanatuma kifaa kilichotoka Duniani kikagonge hilo. Lidubwana. [emoji849][emoji1787][emoji848][emoji848]. Si litakivuruga hiko kifaa chenu chenye ukubwa hata hafiki wa nchi moja.... Au wanamabomu mazito ya kuvunja hilo lijiwe ambalo ni kubwa snaaaa kiasi kwamba Dunia ni kama mchanga???