Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri

Kama kweli chadema hawana mkono na huu uchafuzi wa c19 wawatoe wote.

Tofauti na hapo tutajua wanamkono wao kuwepo bungeni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sawa! Swali je baraka hizi ni kwa maneno au maandishi?
Nikwamaandishi yaliyowapelela bungeni we hujiulizi nani alisaini nyaraka zulizipokelewa na tume kuwapokea wabunge hao? Kama siyo mnyika na mbowe ndiyo wahusika na kama siyo wao wangeshaenda mahakamani muda mrefu kushitaki wamefojiwa
 
Hakika
 
Halafu nyie mna utani sana na maisha ya watu. Yaan mnyika aende mahakaman apoteze ugali wake kirahisi kiasi hicho., We unadhan ataendeshaje familia na kutunza jina hapa mjini
 
Mbona mbowe kaongea hadharani kua alimwita halima Kenya ajitoe na atamtafutia kazi, na halima ajakanusha. Sasa mbowe anahusiakaje Tena.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…