Kuna sehemu ukiambiwa ishi, kimbia sana utakufa maskini tena mshamba

Kuna sehemu ukiambiwa ishi, kimbia sana utakufa maskini tena mshamba

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Kuna msemo wanasema ukitaka kuwa maskini kaishi na maskini, nzi wote watakuja nyumbani kwako kwa sababu wewe kwako ndiko vitu vinatupwa, then utajikuta unapata magonjwa na utakufa.

Nimeipita Tanzania kwa asilimia kubwa sasa, ila safari za Tunduru zimenichanganya, nimepata Dili za kupeleka mzigo Tunduru, so nimezielekeza gari huku.

Nyie Kuna sehemu Kuna umaskini mkubwa, maisha yangu nilikuwa naona umaskini upo mikoa ya Kanda ya kati (Dodoma, Singida) Manyara, Lindi na Mtwara, Kigoma ila sasa nimebadili mawazo.

Kinachowaumiza sana watu wa huku uvivu wa wanaume na kuwaachia majukumu wanawake, mwanamke anaamka asubuhi anamwacha mwanaume kalala, battle la mwanamke ni kuhangaikia maji na chakula.

Huku unapiga mke wa mtu na mwenye mke anajua hakutishi, maana majukumu yote kachiwa mama, jamaa hawataki kazi na wakifanya kazi masoko ya bidhaa Yao yapo chini.

Mtu analima ufuta nusu Heka, mihogo kidogo, na korosho miti yake michache kazi kuvaa misuli bila boxer, stori nyingi katazame mazingira anayolala aisee.

Umeshusha mzigo na gari kupata mzigo wa kuutoa huku ni mtihani, dalali anaringa eti mwenye gari ndio umpatie pesa kidogo ili akutafutie mzigo, yaani badala ya yeye kukimbilia gari.

Kwa hiyo uliyempelekea mzigo, unamchaji nauli mara mbili, aisee hii hatari sana na yeye anavizia kwa kuuza vitu kwa bei Kali sana.
Serikali itoe shule kwa jamii hizi, na ukiwa kijana don't dare kuishi sehemu kama hizi hakika utakufa maskini, otherwise ishi hapo Tunduru mjini ila usikubali kuishi kijijini utakufa maskini maana hawa watakuambukiza tabia za uvivu.

At least hapa halmshauri naona Pana watumishi na wajomba zangu wakinga na wao wanalalamika, wanakimbiza biashara ndogo ndogo yaani hamna sababu ya kufunga biashara kubwa huku utazungushaje.

Vijiji vinahitaji reforms kubwa sana, wabadilishwe akili, wabadilishiwe miondombinu labda kutabadilika ila kwa sasa kunatisha.
 
Kuna msemo wanasema ukitaka kuwa maskini kaishi na maskini, nzi wote watakuja nyumbani kwako kwa sababu wewe kwako ndiko vitu vinatupwa, then utajikuta unapata magonjwa na utakufa. Nimeipita Tanzania kwa asilimia kubwa sasa, ila safari za Tunduru zimenichanganya, nimepata Dili za kupeleka mzigo Tunduru ,so nimezielekeza gari huku, nyie Kuna sehemu Kuna umaskini mkubwa, maisha yangu nilikuwa naona umaskini upo mikoa ya Kanda ya kati ( dodoma,singida ) manyara,Lindi na mtwara ,kigoma ila sasa nimebadili mawazo, kinachowaumiza sana watu wa huku uvivu wa wanaume na kuwachia majukumu wanawake, huku unapiga mke wa mtu na mwenye mke anajua hakutishi, jamaa hawataki kazi na wakifanya kazi masoko ya bidhaa Yao yapo chini, mtu analima ufuta nusu Heka, mihogo kidogo, na korosho miti yake michache kazi kuvaa misuli bila boxer , stori nyingi katazame mazingira anayolala aisee . serikali itoe shule kwa jamii hizi na ukiwa kijana don't dare kuishi sehemu kama hizi hakika utakufa maskini, otherwise ishi hapo Tunduru mjini ila usikubali kuishi kijijini utakufa maskini maana hawa watakuambukiza tabia za uvivu, at least hapa halmshauri naona Pana watumishi na wajomba zangu wajinga wanakimbia biashara ndogo ndogo , ila humo vijijini aisee mnahitaji reforms kubwa , wabdilishwe akili,wabadilishiwe miondombinu labda kutabadilika
Sehemu ZeNye wavivu Kuna Hela nimeona hilo mtwara Tena ni Hela hizi ndogo ndogo jero jero.pmoja n hasara ila wana faida zao pia
 
Kuna msemo wanasema ukitaka kuwa maskini kaishi na maskini, nzi wote watakuja nyumbani kwako kwa sababu wewe kwako ndiko vitu vinatupwa, then utajikuta unapata magonjwa na utakufa. Nimeipita Tanzania kwa asilimia kubwa sasa, ila safari za Tunduru zimenichanganya, nimepata Dili za kupeleka mzigo Tunduru ,so nimezielekeza gari huku, nyie Kuna sehemu Kuna umaskini mkubwa, maisha yangu nilikuwa naona umaskini upo mikoa ya Kanda ya kati ( dodoma,singida ) manyara,Lindi na mtwara ,kigoma ila sasa nimebadili mawazo,. kinachowaumiza sana watu wa huku uvivu wa wanaume na kuwachia majukumu wanawake, mwanamke anamka asubuhi anamwacha mwanaume kalala, battle la mwanamke ni kuhangaikia maji na chakula, huku unapiga mke wa mtu na mwenye mke anajua hakutishi, maana majukumu yote kachiwa mama, jamaa hawataki kazi na wakifanya kazi masoko ya bidhaa Yao yapo chini, mtu analima ufuta nusu Heka, mihogo kidogo, na korosho miti yake michache kazi kuvaa misuli bila boxer , stori nyingi katazame mazingira anayolala aisee . Umeshusha mzigo na gari kupata mzigo wa kuutoa huku ni mtihani,dalali ana ringa eti mwenye gari ndio umpatie pesa kidogo ili akutaftie mzigo, yaani badala ya yeye kukimbilia gari , kwa hiyo uliyempelekea mzigo, unamchaji nauli mara mbili, aisee hii hatari sana,.na yeye anavizia kwa kuuza vitu kwa bei Kali sana. serikali itoe shule kwa jamii hizi, na ukiwa kijana don't dare kuishi sehemu kama hizi hakika utakufa maskini, otherwise ishi hapo Tunduru mjini ila usikubali kuishi kijijini utakufa maskini maana hawa watakuambukiza tabia za uvivu, at least hapa halmshauri naona Pana watumishi na wajomba zangu wakinga na wao wanalalamika, wanakimbiza biashara ndogo ndogo yaani hamna sababu ya kufunga biashara kubwa huku utazungushaje , vijiji vinahitaji reforms kubwa sana , wabadilishwe akili,wabadilishiwe miondombinu labda kutabadilika ila kwa sasa Kuna tisha
Kwa hiyo msuli bila boxer inavutia umaskini? Kwa munyazi Mungu kote hawapendi kazi ngumu! Ila mkuu Singida iondoe kwenye kundi la mikoa maskini, alizeti imewainua sana watu wa Singida!
 
Uvivu ni changamoto ya waafrika wote, watu wa rangi tofauti wanatulaumu na kutucheka kwa ajili ya tatizo hili, tunakufa na umasikini huku tuna aridhi yenye rutuba, halafu tunawaita wageni tuwape maelfu ya ekali, jiulize we una eka ngapi?

Kabla ya kuwalaumu watu wa tunduru, tujikague wote, ndio zetu hizo!
 
Kuna msemo wanasema ukitaka kuwa maskini kaishi na maskini, nzi wote watakuja nyumbani kwako kwa sababu wewe kwako ndiko vitu vinatupwa, then utajikuta unapata magonjwa na utakufa. Nimeipita Tanzania kwa asilimia kubwa sasa, ila safari za Tunduru zimenichanganya, nimepata Dili za kupeleka mzigo Tunduru ,so nimezielekeza gari huku, nyie Kuna sehemu Kuna umaskini mkubwa, maisha yangu nilikuwa naona umaskini upo mikoa ya Kanda ya kati ( dodoma,singida ) manyara,Lindi na mtwara ,kigoma ila sasa nimebadili mawazo,. kinachowaumiza sana watu wa huku uvivu wa wanaume na kuwachia majukumu wanawake, mwanamke anamka asubuhi anamwacha mwanaume kalala, battle la mwanamke ni kuhangaikia maji na chakula, huku unapiga mke wa mtu na mwenye mke anajua hakutishi, maana majukumu yote kachiwa mama, jamaa hawataki kazi na wakifanya kazi masoko ya bidhaa Yao yapo chini, mtu analima ufuta nusu Heka, mihogo kidogo, na korosho miti yake michache kazi kuvaa misuli bila boxer , stori nyingi katazame mazingira anayolala aisee . Umeshusha mzigo na gari kupata mzigo wa kuutoa huku ni mtihani,dalali ana ringa eti mwenye gari ndio umpatie pesa kidogo ili akutaftie mzigo, yaani badala ya yeye kukimbilia gari , kwa hiyo uliyempelekea mzigo, unamchaji nauli mara mbili, aisee hii hatari sana,.na yeye anavizia kwa kuuza vitu kwa bei Kali sana. serikali itoe shule kwa jamii hizi, na ukiwa kijana don't dare kuishi sehemu kama hizi hakika utakufa maskini, otherwise ishi hapo Tunduru mjini ila usikubali kuishi kijijini utakufa maskini maana hawa watakuambukiza tabia za uvivu, at least hapa halmshauri naona Pana watumishi na wajomba zangu wakinga na wao wanalalamika, wanakimbiza biashara ndogo ndogo yaani hamna sababu ya kufunga biashara kubwa huku utazungushaje , vijiji vinahitaji reforms kubwa sana , wabadilishwe akili,wabadilishiwe miondombinu labda kutabadilika ila kwa sasa Kuna tisha
Sorry,
Nje ya mada. Elimu yako ni mpaka level gani? Unaelewa nini kuhusu neno "Paragraph"??
 
Sehemu ZeNye wavivu Kuna Hela nimeona hilo mtwara Tena ni Hela hizi ndogo ndogo jero jero.pmoja n hasara ila wana faida zao pia
Nakubaliana na wewe mkuu. Ukienda na vijimradi vya kawaida lazima upige pesa, maana wazawa wamelala usingizi wa pono.
 
Kuna msemo wanasema ukitaka kuwa maskini kaishi na maskini, nzi wote watakuja nyumbani kwako kwa sababu wewe kwako ndiko vitu vinatupwa, then utajikuta unapata magonjwa na utakufa. Nimeipita Tanzania kwa asilimia kubwa sasa, ila safari za Tunduru zimenichanganya, nimepata Dili za kupeleka mzigo Tunduru ,so nimezielekeza gari huku, nyie Kuna sehemu Kuna umaskini mkubwa, maisha yangu nilikuwa naona umaskini upo mikoa ya Kanda ya kati ( dodoma,singida ) manyara,Lindi na mtwara ,kigoma ila sasa nimebadili mawazo,. kinachowaumiza sana watu wa huku uvivu wa wanaume na kuwachia majukumu wanawake, mwanamke anamka asubuhi anamwacha mwanaume kalala, battle la mwanamke ni kuhangaikia maji na chakula, huku unapiga mke wa mtu na mwenye mke anajua hakutishi, maana majukumu yote kachiwa mama, jamaa hawataki kazi na wakifanya kazi masoko ya bidhaa Yao yapo chini, mtu analima ufuta nusu Heka, mihogo kidogo, na korosho miti yake michache kazi kuvaa misuli bila boxer , stori nyingi katazame mazingira anayolala aisee . Umeshusha mzigo na gari kupata mzigo wa kuutoa huku ni mtihani,dalali ana ringa eti mwenye gari ndio umpatie pesa kidogo ili akutaftie mzigo, yaani badala ya yeye kukimbilia gari , kwa hiyo uliyempelekea mzigo, unamchaji nauli mara mbili, aisee hii hatari sana,.na yeye anavizia kwa kuuza vitu kwa bei Kali sana. serikali itoe shule kwa jamii hizi, na ukiwa kijana don't dare kuishi sehemu kama hizi hakika utakufa maskini, otherwise ishi hapo Tunduru mjini ila usikubali kuishi kijijini utakufa maskini maana hawa watakuambukiza tabia za uvivu, at least hapa halmshauri naona Pana watumishi na wajomba zangu wakinga na wao wanalalamika, wanakimbiza biashara ndogo ndogo yaani hamna sababu ya kufunga biashara kubwa huku utazungushaje , vijiji vinahitaji reforms kubwa sana , wabadilishwe akili,wabadilishiwe miondombinu labda kutabadilika ila kwa sasa Kuna tisha
Ni kweli kabisa ongezea na majirani zao Nanyumbu ni wavivu balaa asubui saa 2 unamkuta mwanaume anacheza bao
 
Kuna msemo wanasema ukitaka kuwa maskini kaishi na maskini, nzi wote watakuja nyumbani kwako kwa sababu wewe kwako ndiko vitu vinatupwa, then utajikuta unapata magonjwa na utakufa. Nimeipita Tanzania kwa asilimia kubwa sasa, ila safari za Tunduru zimenichanganya, nimepata Dili za kupeleka mzigo Tunduru ,so nimezielekeza gari huku, nyie Kuna sehemu Kuna umaskini mkubwa, maisha yangu nilikuwa naona umaskini upo mikoa ya Kanda ya kati ( dodoma,singida ) manyara,Lindi na mtwara ,kigoma ila sasa nimebadili mawazo,. kinachowaumiza sana watu wa huku uvivu wa wanaume na kuwachia majukumu wanawake, mwanamke anamka asubuhi anamwacha mwanaume kalala, battle la mwanamke ni kuhangaikia maji na chakula, huku unapiga mke wa mtu na mwenye mke anajua hakutishi, maana majukumu yote kachiwa mama, jamaa hawataki kazi na wakifanya kazi masoko ya bidhaa Yao yapo chini, mtu analima ufuta nusu Heka, mihogo kidogo, na korosho miti yake michache kazi kuvaa misuli bila boxer , stori nyingi katazame mazingira anayolala aisee . Umeshusha mzigo na gari kupata mzigo wa kuutoa huku ni mtihani,dalali ana ringa eti mwenye gari ndio umpatie pesa kidogo ili akutaftie mzigo, yaani badala ya yeye kukimbilia gari , kwa hiyo uliyempelekea mzigo, unamchaji nauli mara mbili, aisee hii hatari sana,.na yeye anavizia kwa kuuza vitu kwa bei Kali sana. serikali itoe shule kwa jamii hizi, na ukiwa kijana don't dare kuishi sehemu kama hizi hakika utakufa maskini, otherwise ishi hapo Tunduru mjini ila usikubali kuishi kijijini utakufa maskini maana hawa watakuambukiza tabia za uvivu, at least hapa halmshauri naona Pana watumishi na wajomba zangu wakinga na wao wanalalamika, wanakimbiza biashara ndogo ndogo yaani hamna sababu ya kufunga biashara kubwa huku utazungushaje , vijiji vinahitaji reforms kubwa sana , wabadilishwe akili,wabadilishiwe miondombinu labda kutabadilika ila kwa sasa Kuna tisha
Huko ndio kuzuri kwa watu wanaojitambua,unatoboa huko.
 
Zingatia kuacha aya unapoandika ili usimchohe anaesoma vinginevyo ntakulamba ban nimeshapewa kazi ya kuwa Moderator
 
We ndo Mara yako ya kwanza kwenda vijijini?

Maana huko vijijini wanasumbuliwa na umasikini miaka mingi Sana.

So hakuna kukimbia Ila unaangalia namna ya Kupambana kwa kutumia njia sahihi.
 
Back
Top Bottom