Kuna sehemu yenye joto zaidi ya Ifakara Tanzania?

Kuna sehemu yenye joto zaidi ya Ifakara Tanzania?

Hapana mkuu Ifakara kuna joto ila la daslam ni kiboko uzuri niko apa Ifakara kuanzia jioni upepo kama wote
 
Kinachofanya joto la Dar liwe la kukera ni Humidity ni kubwa sana. (unyevu nyevu kwenye hewa). Hii inafanya watu watoe jasho sana.
Kuna wakati bongo Humidity inafika mpaka 80.. hapo ni mwendo wa jasho tupu. Hapa mwili ukipumua unakutana na maji maji yamejaa tayari kwenye hewa (air), yanashindwa ku evaporate yanabaki kwenye mwili wako , ndio maana watu wanatoa jasho sana
Mfano kwa Leo
Ifakara ni 36 Humidity: 32%
Dar ni 32 Humidity: 56%
Huyu mtu wa Dar atakuwa unconfutable zaidi kuliko huyu mtu wa Ifakara
Maisha yangu yote dar mpaka naondoka sikuwahi kupaka mafuta na bado nilikuwa natoka jasho ukishuka kwenye usafiri shati kama umenyeshewa mvua, hatari sana
 
Tatizo umesahau concept ya humidity ya geography, Dar inaweza kuwa 33 °C na moshi 40°C , ila Dar ni kisanga kwa sababu ya humidity.
Humidity ya Dar haipandishi 'joto' kwa zaidi ya nyuzi 4..ikiwa 33 unafeel kama 34 hadi 37 ila sio zaidi
 
Back
Top Bottom