Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,053
- 2,757
Hapana mkuu Ifakara kuna joto ila la daslam ni kiboko uzuri niko apa Ifakara kuanzia jioni upepo kama wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo wapi hii Prof?Kuna sehemu inaitwa "Pawaga" ni kisanga.
Aisee hii si unaiva kabisa watu wakija na ugali wanakula kabisa?Wabongo kwa kulialia,Djibouti wao 50 degrees na unakuta mtu kapigilia suti na anakunywa Chai yenye tangawizi juani.
Maisha yangu yote dar mpaka naondoka sikuwahi kupaka mafuta na bado nilikuwa natoka jasho ukishuka kwenye usafiri shati kama umenyeshewa mvua, hatari sanaKinachofanya joto la Dar liwe la kukera ni Humidity ni kubwa sana. (unyevu nyevu kwenye hewa). Hii inafanya watu watoe jasho sana.
Kuna wakati bongo Humidity inafika mpaka 80.. hapo ni mwendo wa jasho tupu. Hapa mwili ukipumua unakutana na maji maji yamejaa tayari kwenye hewa (air), yanashindwa ku evaporate yanabaki kwenye mwili wako , ndio maana watu wanatoa jasho sana
Mfano kwa Leo
Ifakara ni 36 Humidity: 32%
Dar ni 32 Humidity: 56%
Huyu mtu wa Dar atakuwa unconfutable zaidi kuliko huyu mtu wa Ifakara
Aisee hii si unaiva kabisa watu wakija na ugali wanakula kabisa?
Humidity ya Dar haipandishi 'joto' kwa zaidi ya nyuzi 4..ikiwa 33 unafeel kama 34 hadi 37 ila sio zaidiTatizo umesahau concept ya humidity ya geography, Dar inaweza kuwa 33 °C na moshi 40°C , ila Dar ni kisanga kwa sababu ya humidity.