TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Huko mbagala sio p0a
Kimara na mbezi mpaka kibamba joto la kawaida tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimara na mbezi mpaka kibamba joto la kawaida tu.
Utakua jirani yangu wewe. Tukutane kesho jumatano kwenye mnada wa mbuzi choma Kibamba.Dar kuanzia kimara hadi kibamba kote ni kipupwe tu
Mwanga na Same inakuwa 36+ msimu huuJoto la eneo hili hufikia hadi nyuzi joto 40 C, kumbuka hapa Dar halijawahi kuvuka 34 na watu ndio wanapiga kelele hivi
Je, kuna zaidi ya Ifakara kwa joto Tanzania?
Duuuh nililima huko 2006 aisee, nikiingi kwenye yale maji miguu inapata vipele vinakuwa na maji maji alafu yanaisha yenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mlimba huku sio pouwaJoto la eneo hili hufikia hadi nyuzi joto 40 C, kumbuka hapa Dar halijawahi kuvuka 34 na watu ndio wanapiga kelele hivi
Je, kuna zaidi ya Ifakara kwa joto Tanzania?
Site Maeneo yangu sana mkuuKideri kimeingia msimu wa joto kali lazima wafe tu.. karibu site mkuu.
Mi pia mitaa yangu hiyo chiefSite Maeneo yangu sana mkuu
Mkuu nipo hapo nowMi pia mitaa yangu hiyo chief
Kwa hapo dar kali sana inaishia 31 ila huko hadi 37Tusiandikie mate na wino upoView attachment 2013663
Hio ni maximum ya siku aloyochukua hiyo screenshotKwa hapo dar kali sana inaishia 31 ila huko hadi 37
Ifakara nomaUzi closed: The hottest place in Tanzania is Ifakara.
This is from experiences of many people who have already visited the place.
Thanks.
Ndo hivoHio ni maximum ya siku aloyochukua hiyo screenshot
Sehemu kubwa ya Wilaya ua Kilolo ni ukanfa wa baridi ispokuw sehemu ndogo tu ni ukanda joto na kame. Ruaha Mbuyuni joto lake siyo la dunia hii.Kilolo inasemekana ina maeneo ya aina mbili kiuoto wa asili
Mkuu nina uzoefu na kyela nime wahi kuishi kwa kipindi kirefu kidogo, Kyela kuna joto ila joto lake ni kama la Daslamu tu sababu halija wahi vuka 32+ ubaya wa joto la kyela ni joto lenye la kuchoma sio kama la Dar ambalo linaambatana na fukoto.Kuna sehemu inaitwa kyela mbeya huko na ifakara ni sambamba
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mbunge wa Ifakara amefeli .Ajipime.Joto la eneo hili hufikia hadi nyuzi joto 40 C, kumbuka hapa Dar halijawahi kuvuka 34 na watu ndio wanapiga kelele hivi
Je, kuna zaidi ya Ifakara kwa joto Tanzania?