Kuna sehemu yenye joto zaidi ya Ifakara Tanzania?

Kuna sehemu yenye joto zaidi ya Ifakara Tanzania?

Kuna Sehemu inaitwa MAJI YA CHAI, hii ipo Arusha . Joto lake ni hatari yaani maji yanatiririka kwenye mto huku yanachemka. Unachota maji mtoni unaweka majani na sukari unapata chai. Ndio pakaitwa Maji ya chai yaani ni shida.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mwezi nilienda ifakara nikajisema sasa huu ukijani wote unafaida gani kama joto ndo hivi....nadhani ifakara itakuwa ni bondeni
Sio kudhani, Ifakara ipo bondeni tena chini kabisa. Wenyewe wanaita bonde la Kilombero, joto la hii fasi sio mchezo kabisa. Ukitaka kujua Ifakara ni bonde njoo kipindi cha mvua..mpunga unalima nyuma ya nyumba [emoji23][emoji23]
 
Ifakara kwa joto hapafai.

Yaan ukipaki gari juani,
Ukigusa tairi ya Moto Afu imetepeta.

ukilitoa hapo fanya TU mpango ukapunguze upepo kabla ya safari.

Ukijitia ujuaji haufiki mbali, tairi inapasuka.

SINA HAMU NAPO,
Mwaka Jana nmepasua tair mara 2 pale[emoji3525]
 
Kuna Sehemu inaitwa MAJI YA CHAI, hii ipo Arusha . Joto lake ni hatari yaani maji yanatiririka kwenye mto huku yanachemka. Unachota maji mtoni unaweka majani na sukari unapata chai. Ndio pakaitwa Maji ya chai yaani ni shida.
Ha ha ha we jamaa mjinga sana, hakuna kitu kama hicho..
 
hahahah kama ilivyo hii ?
Kuna Sehemu inaitwa MAJI YA CHAI, hii ipo Arusha . Joto lake ni hatari yaani maji yanatiririka kwenye mto huku yanachemka. Unachota maji mtoni unaweka majani na sukari unapata chai. Ndio pakaitwa Maji ya chai yaani ni shida.
 
Joto la eneo hili hufikia hadi nyuzi joto 40 C, kumbuka hapa Dar halijawahi kuvuka 34 na watu ndio wanapiga kelele hivi

Je, kuna zaidi ya Ifakara kwa joto Tanzania?
Kinachofanya joto la Dar liwe la kukera ni Humidity ni kubwa sana. (unyevu nyevu kwenye hewa). Hii inafanya watu watoe jasho sana.
Kuna wakati bongo Humidity inafika mpaka 80.. hapo ni mwendo wa jasho tupu. Hapa mwili ukipumua unakutana na maji maji yamejaa tayari kwenye hewa (air), yanashindwa ku evaporate yanabaki kwenye mwili wako , ndio maana watu wanatoa jasho sana
Mfano kwa Leo
Ifakara ni 36 Humidity: 32%
Dar ni 32 Humidity: 56%
Huyu mtu wa Dar atakuwa unconfutable zaidi kuliko huyu mtu wa Ifakara
 
Kinachofanya joto la Dar liwe la kukera ni Humidity ni kubwa sana. (unyevu nyevu kwenye hewa). Hii inafanya watu watoe jasho sana.
Kuna wakati bongo Humidity inafika mpaka 80.. hapo ni mwendo wa jasho tupu. Hapa mwili ukipumua unakutana na maji maji yamejaa tayari kwenye hewa (air), yanashindwa ku evaporate yanabaki kwenye mwili wako , ndio maana watu wanatoa jasho sana
Mfano kwa Leo
Ifakara ni 36 Humidity: 32%
Dar ni 32 Humidity: 56%
Huyu mtu wa Dar atakuwa unconfutable zaidi kuliko huyu mtu wa Ifakara

Uko sahihi kabisa,kinachotumaliza Dsm ni high Humidity.
Comfortable humidity ni kuanzia 30 to 50%.
Saa Dsm unakuta Humidity inagonga hadi 80% yaani hapo hata kulala huwezi,dizaini mwili kama unanata hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom