Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Iringa karibu na ruhaa national parkPawaga ipo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iringa karibu na ruhaa national parkPawaga ipo wapi?
Niliwahi fanya mishe flani pale around 2017, ila kiukweli kwa sasa ukipita unaona kabisa mji unakua kwa kiwango cha kuona kabisa hapa watu wanachacharika sana..pana ela pale mahali.Kuna utajiri wa hatari kupitia kilimo cha umwagiliaji,kuna mito miwili inakutana,mto ruaha na mto lukosi,ukienda na mtaji wako wa milioni tano ukalima nyanya unatoboa
Lakini mbona wana mto pale wa maji .Sema eneo lile kama lipo blocked upepo haupiti sawa sawa!Joto la Ifakara si la mchemchezo. Ila kuna sehemu inaitwa RUAHA MBUYUNI (Kilolo) nadhani ni mwisho wa yote kwa joto hata Tanzania.
😂😂Tz hii hii Kuna sehemu mvua hainyesh kbsPawaga cha mtoto hujafika "Migoli" hata mvua hainyeshagi kule 😝
Moshi Napo ni hatari lakini joto Kali kwa Moshi lipo kusini mwa barabara ya Dar - Ars kuliko upande wa kaskazini.Moshi mjini juzi ilikuwa 40.5 C...
Mkuu pale Pawaga na sehemu moja wanaita Mlimba iko Ifakara kuna Joto sijawahi kuliona mahali pengine Tanzania hii..kuna sehemu inaitwa "Pawaga" ni kisanga.
Huo ukanda wote una baridi sana kuanzia makongo juu,kimara ,kibangu mpaka kibaha
Huwa inafika nyuzi joto ngapi?.Joto la Ifakara si la mchemchezo. Ila kuna sehemu inaitwa RUAHA MBUYUNI (Kilolo) nadhani ni mwisho wa yote kwa joto hata Tanzania.
Mm Niko Moshi mjini hapa nikweli joto lipo ila siyo Kali kama la Dar haya mambo mnakuza tuu, nimekuja Toka juzi naona afazali ya huku Dar ni jehanamuMkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi ndio unaogoza kwa joto kwasasa hata Dar inangoja.....!
Maji ya Chai napafahamu mkuu, hii uliyoandika ni chaiKuna Sehemu inaitwa MAJI YA CHAI, hii ipo Arusha . Joto lake ni hatari yaani maji yanatiririka kwenye mto huku yanachemka. Unachota maji mtoni unaweka majani na sukari unapata chai. Ndio pakaitwa Maji ya chai yaani ni shida.
Na huu umeme wa mgao?Fungeni air condition kiboko ya joto View attachment 2012739
Joto la eneo hili hufikia hadi nyuzi joto 40 C, kumbuka hapa Dar halijawahi kuvuka 34 na watu ndio wanapiga kelele hivi
Je, kuna zaidi ya Ifakara kwa joto Tanzania?
[emoji23][emoji23][emoji23]Na huu umeme wa mgao?
Nilikaa Ismani kijijini huko mzee hilo joto usiguseHao wana kupotosha nenda ukanda wa mlima nyang'oro uone motooo
Dah nilikuwa mang'ula juzi kati hapo duh! Kuna joto
Pagawa hujawaelezea na wale mmbu jamanikuna sehemu inaitwa "Pawaga" ni kisanga.