Kuna sehemu yenye joto zaidi ya Ifakara Tanzania?

Kuna sehemu yenye joto zaidi ya Ifakara Tanzania?

Dar watu wanakuza sana mambo.. bado sijaona hilo joto la kulia lia hivi.
Kinachofanya joto la Dar liwe baya ni humidity. Humidity iko very high kwa sababu ya bahari na maji chumvi hivyo kufanya mwili kushindwa ''kupumua'' Huko kwingine mnakosema ukikaa sehemu ya uwazi ambayo haina direct sunshine huwezi kujisikia vibaya kama Dar.
 
Kwani ruaha mbuyuni na iringa mjini kuna kilometer ngapi,,, mana nilishwahi pita iringa mjini kule gangilonga kuna baridi kama uko kwenye friji,,, sasa mnaposema ruaha mbuyuni kuna joto zaidi ya dar wakati baridi ya iringa inaanzia pale tu unapoanza mlima wa kitonga, hapo kidogo mmeniacha ndugu zangu
Hao wana kupotosha nenda ukanda wa mlima nyang'oro uone motooo
 
Muda mfupi uliopita, hali iko hivi. Nipo 60 area
Screenshot_20211115-203108_Google.jpg
 
Mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi ndio unaogoza kwa joto kwasasa hata Dar inangoja.....!
 
Back
Top Bottom