emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,243
Hahaha alafu hata tz maeneo hayajui...Then unajiita prof
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha alafu hata tz maeneo hayajui...Then unajiita prof
Ruaha mbuyuni ipo nyuma sana kabla ya kitonga, kuna mto pale ndio mpaka wa Iringa na Morogoro..kutokea ruaha mpaka town ni zaidi ya 100km.Kwani ruaha mbuyuni na iringa mjini kuna kilometer ngapi,,, mana nilishwahi pita iringa mjini kule gangilonga kuna baridi kama uko kwenye friji,,, sasa mnaposema ruaha mbuyuni kuna joto zaidi ya dar wakati baridi ya iringa inaanzia pale tu unapoanza mlima wa kitonga, hapo kidogo mmeniacha ndugu zangu
Duu! Sasa barafu ile ya mlima wetu si itayeyuka kabisa!Moshi mjini juzi ilikuwa 40.5 C...
ifike mahali uache masikhara na huo msura wako mbaya kwenye avatar bwanaMakambako na Mufindi.
... inategemea asili ya kwenu; kwa waliotokea maneo ya baridi joto la Dar si haba! Imagine mtu uko bafuni unaoga wakati huo huo joto linakutoka linachanganyika na maji!Dar watu wanakuza sana mambo.. bado sijaona hilo joto la kulia lia hivi.
Tuone🙈Nipo hapa kwa Shungu,Ifakara hata mavuzxx hayaoti kisa joto kali.
Motogoro ### MorogoroIfakara ipo Motogoro
Paka samli yatamea[emoji1][emoji1]Nipo hapa kwa Shungu,Ifakara hata mavuzxx hayaoti kisa joto kali.
Wa mnyama au wa binadamu?hahahaa yani huko inabidi mtembee uchi
Sio joto linakutoka, sema jasho linakutoka, pimbi wewe (joking) [emoji1][emoji1]... inategemea asili ya kwenu; kwa waliotokea maneo ya baridi joto la Dar si haba! Imagine mtu uko bafuni unaoga wakati huo huo joto linakutoka linachanganyika na maji!
Kuleee Sirari-Tarime[emoji1][emoji1]Ngerengere iko wapi....???
Hivi ndio pale wanapolima nyanya?Nenda Ruaha Mbuyuni jionee tofauti!
Kabisa. Na vitunguu pia.Hivi ndio pale wanapolima nyanya?
Digrii ndio ipi? una maanisha Degree 🤣 🤣Hakuna cha kujiongeza. Vitoto vingine ni vijinga sana. Hata kuandika shida wakati wana digrii. Na wewe jiongeze kiutu uzima.
Inasoma nyuzi ngapi °ckuna sehemu inaitwa "Pawaga" ni kisanga.