Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeNilfk mwak huu mwez wa 6 na 9yaan mwez wa joto la kufa mtu na wa 9 huo ndio kbsaaa sikutegemea kama moro itakuw vle
IringaPawaga ipo wapi?
Yes ifakara ni bondeni tena bondeni hasa.Kuna mwezi nilienda ifakara nikajisema sasa huu ukijani wote unafaida gani kama joto ndo hivi....nadhani ifakara itakuwa ni bondeni
Kimara na mbezi mpaka kibamba joto la kawaida tu.nilifika sehemu inaitwa king'ongo ng'ambo ya kimara nikaona kuha hali ya hewa inakaribiana na njombe. Niliinjoi sana.
Pale gerezani?Achanen na sehem inaitwa kiberege pale nahisi watu wanaungua aisee
30km kutoka Ifakara townKibegere iko wapi?
Ahhh!Kimara sihami.
Wapi Tena Dar Kuna kitimoto Kama Kimara, bar nzuri Kimara, usafiri wa mwendokasi Kimara. Kuna kitu nimesahau?
Yes. Waungwana Dar wanapatikana Kimara.
Uko serious?
Napigwa na upepo tu hapa nipo nje.....Kimara hiyo!!Kimara na mbezi mpaka kibamba joto la kawaida tu
karibu korogwe tanga, tunakufa na hizi nyuzi joto 35
Picha mkuuNipo hapa kwa Shungu,Ifakara hata mavuzxx hayaoti kisa joto kali.
Na ukitoka kule unapata ule ugonjwa wa bawasili (kutokwa na kinyama) si unaujua?Hujaingia jikoni wanakopika chakula cha kuruta wa JKT wewe! Lile joto hata moto wa mwisho wa dunia au kiama halifikii joto la kusongea ugali! Hadi wapishi jasho linadondokea kwenye ugali lakini bado tu wameumana kugeuza ugali hadi uive!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji817][emoji106]CONFIRMED!!
Temperature is inversely proportional to pocket
Jamani makabwela wenzangu, tutafute pesaa
Kweli mi nipo Kimara hata feni siwashi usikuKimara na mbezi mpaka kibamba joto la kawaida tu.
Hii HAPANA aiseee... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nipo hapa kwa Shungu,Ifakara hata mavuzxx hayaoti kisa joto kali.
Watu wengine wanashindwa kutofautisha kati ya ''actual'' temperature na ''feel like'' temperature. Unapotaka kuzungumzia temperature ya sehemu, kuna factors zinaweza kufanya mtu asikie joto/baridi zaidi. Vitu kama humidity, winds, direct sunshine, vegetation cover etc vinaweza kufanya joto/baridi kuwa kali zaidi. Ukiwa eg Ulaya, siku temperature iko -2 cg na upepo ni mkali, uta-feel baridi zaidi eg -7cg. Na Dar ni hivyo hivyo. temperature inaweza kuwa 35 cg lakini feel like ikawa 40cg kwa sababu nilizotaja.Uko sahihi kabisa,kinachotumaliza Dsm ni high Humidity.
Comfortable humidity ni kuanzia 30 to 50%.
Saa Dsm unakuta Humidity inagonga hadi 80% yaani hapo hata kulala huwezi,dizaini mwili kama unanata hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaa. Mzee baba hii kamba aisee.Kuna Sehemu inaitwa MAJI YA CHAI, hii ipo Arusha . Joto lake ni hatari yaani maji yanatiririka kwenye mto huku yanachemka. Unachota maji mtoni unaweka majani na sukari unapata chai. Ndio pakaitwa Maji ya chai yaani ni shida.