Kuna sheria inayohusika na mambo ya ugoni?

Kuna sheria inayohusika na mambo ya ugoni?

bongo dili

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
12,350
Reaction score
25,180
Kama mtu kaingilia ndoa ya mtu akazaa na mke wa mtu,ikathibika kwa ushahidi wa mdomo, message,video na picha.
Sheria inasema Nini kuhusu hili.
Je Pana haki ya Mume ikiwemo fidia kwa mgoni.
Kama mgoni amesambaratisha familia kwa maana watoto wanaenda ishi bila malezi ya wazazi wa pande mbili,mme au mke kupotezewa malengo ikiwemo athari za kisaikolojia, nk haki inasimamaje hapa.
 
Kama mtu kaingilia ndoa ya mtu akazaa na mke wa mtu,ikathibika kwa ushahidi wa mdomo, message,video na picha.
Sheria inasema Nini kuhusu hili.
Je Pana haki ya Mume ikiwemo fidia kwa mgoni.
Kama mgoni amesambaratisha familia kwa maana watoto wanaenda ishi bila malezi ya wazazi wa pande mbili,mme au mke kupotezewa malengo ikiwemo athari za kisaikolojia, nk haki inasimamaje hapa.
Kwani mke alibakwa?
Kama alikubali kwa hiari yake hakuna tatizo
Wake za watu hawana mhuri usoni me nitamtambuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa wanandoa ikithibitika bila shaka mwanandoa mke au mume amefanya mapenzi nje ya ndoa ni kosa kisheria na anaweza kuhukumiwa kifungo kisichozidi miezi 6 jela!!
 
Kama mtu kaingilia ndoa ya mtu akazaa na mke wa mtu,ikathibika kwa ushahidi wa mdomo, message,video na picha.
Sheria inasema Nini kuhusu hili.
Je Pana haki ya Mume ikiwemo fidia kwa mgoni.
Kama mgoni amesambaratisha familia kwa maana watoto wanaenda ishi bila malezi ya wazazi wa pande mbili,mme au mke kupotezewa malengo ikiwemo athari za kisaikolojia, nk haki inasimamaje hapa.
Sheria ipo mkuu, nishawahi kuona mtu analipa fidia kubwa tu
kwa wanandoa ikithibitika bila shaka mwanandoa mke au mume amefanya mapenzi nje ya ndoa ni kosa kisheria na anaweza kuhukumiwa kifungo kisichozidi miezi 6 jela!!
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, kuingiliwa ndoa ni kosa la jinai linaloitwa ugoni na adhabu yake ni kifungo cha miaka mitatu hadi mitano.

Mume anaweza kuchukua hatua za kisheria ikiwa mgoni amesababisha kuvunjika kwa ndoa. Anaweza kufungua kesi ya ugoni dhidi ya mgoni, talaka dhidi ya mke wake, na madai dhidi ya mgoni.

Katika kesi ya ugoni, mume anaweza kuomba fidia kwa gharama za kisheria, matibabu ya kisaikolojia, malezi ya watoto, na athari za kifedha na kijamii.

Sheria za Tanzania zinamlinda mume kutokana na vitendo vya ugoni. Hata hivyo, ni vigumu sana kuthibitisha kuwa tendo la ugoni lilitokea. Ikiwa unakabiliwa na hali hii, ni muhimu kushauriana na wakili.
 
Mambo mengine ni kuachana nayo. Ama uamue uendelee na mkeo wako au uachane naye kaoe mwingine basi. Kati ya hayo mawili jipe muda tafakari kwa kina halafu chagua moja litakalokupa amani ya moyoni. Hiyo habari ya kushtaki halafu unalipwa fidia maana yake sasa umeidhinisha mgoni aendelee kiroho safi si kashakulipa.
 
Ha
umekamatwa?
Hapana Pana mpumbavu kazaa na mke wa mtu makusudi akijua ni mke wa mtu Mtoto ana miaka 2.
Ushahidi ni message za mke wa mtu na jamaa.
Mke wa mtu na mama yake jamaa, ushahidi wa mke wa mtu na dada yake jamaa.
Message za ngono mke wa mtu na jamaa,video mke wa mtu na jamaa,miamala ya pesa ya mke wa mtu na jamaa, cctv camera
Mke wa mtu kaenda kumtambulisha mtoto nyumbani kwao jamaa,hali akijua ana ndoa yake ya Kanisa katoliki akiwa anaishi na mume halali wa ndoa mme akienda kazini mke anamleta jamaa Ndani.
 
Mambo mengine ni kuachana nayo. Ama uamue uendelee na mkeo wako au uachane naye kaoe mwingine basi. Kati ya hayo mawili jipe muda tafakari kwa kina halafu chagua moja litakalokupa amani ya moyoni. Hiyo habari ya kushtaki halafu unalipwa fidia maana yake sasa umeidhinisha mgoni aendelee kiroho safi si kashakulipa.
Ndoa imeshakufa jamaa kazaa na mke wa mtu
 
Ha

Hapana Pana mpumbavu kazaa na mke wa mtu makusudi akijua ni mke wa mtu Mtoto ana miaka 2.
Ushahidi ni message za mke wa mtu na jamaa.
Mke wa mtu na mama yake jamaa, ushahidi wa mke wa mtu na dada yake jamaa.
Message za ngono mke wa mtu na jamaa,video mke wa mtu na jamaa,miamala ya pesa ya mke wa mtu na jamaa, cctv camera
Mke wa mtu kaenda kumtambulisha mtoto nyumbani kwao jamaa,hali akijua ana ndoa yake ya Kanisa katoliki akiwa anaishi na mume halali wa ndoa mme akienda kazini mke anamleta jamaa Ndani.
That is too much. Hadi anampeleka nyumbani kwake?
 
Kataa ndoa wanazidi kujikusanyia points dah!!
Nyie mimama mlioko kwenye ndoa em tulizeni vinembee Mtafanya wengine tusiolewe kwa nyege zenu za kuku [emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujaolewa unasubiri nn uduguuu? Poleeeeh
 
Mwanaume kamili anapo mkamata mkewe ugoni na ushahidi akaupata, basi anapaswa avunje ndoa tu. Hayo mengine yooote sioni kama yana maana kwasababu zaidi yatakua yanamdhalilisha zaidi mwanaume na kuonekana bwege kwenye familia za pande zote mbili pamoja na jamii yote inayo wazunguka.
Na kinyume chake, sio kweli kwamba wanawake wote ni wabaya lahhh..... wapo wanawake wazuri, wenye upendo ulio zaa uvimilivu ambao wana hofu ya Mungu na niwatii kwa waume zao.
 
Kuna adhabu mbili tuu kwa mgoni
1. Kufukuza mke
2. Kutumia Gunia la mkaa

Hiyo ya mahakamani ni ngeni kwangu
1 is the best, kwasababu mwanaume anapaswa atambue tu kwamba alioa mke ambae hana upendo kwake, na tafsiri yake nikwamba huyo mwanaume alioa mke wa mwanaume mwingine.
 
Back
Top Bottom