Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Uandike mirathi mapema nakuona kungwi siku zako za kuishi zinahesabika 😂😂😂Hivi unadhani kusimama mahakamani kudai talaka ni Jambo rahisi? Siku hizi tumekubaliana hatuvunji ndoa.....mwanaume akijifanya bingwa wa michepuko na hahudumii, hatuondoki....tunamtafutia replacement, yakinoga ndo hivo na watoto juu....infwact tutafia ndoani🤣🤣🤣
Ingekuwa kutoa talaka ni rahisi si unaona mwamba kajua mtoto si wake Ila hata hajaanza mchakato wa talaka....isikie tu.
Afu kisimi hakitulii kinatulizwa, si nishakwambia nyege hazitoki Kwa maombi🤣🤣🤣
Labda kitakachokusaidia mkole lasivyo hutoboi