Kuna sheria inayohusika na mambo ya ugoni?

Uandike mirathi mapema nakuona kungwi siku zako za kuishi zinahesabika 😂😂😂
Labda kitakachokusaidia mkole lasivyo hutoboi
 
Tangible evidence
 
Uandike mirathi mapema nakuona kungwi siku zako za kuishi zinahesabika 😂😂😂
Labda kitakachokusaidia mkole lasivyo hutoboi
Uzuri Baba K anajua kavamia mtumbwi wa vibwengo🤣🤣🤣
Nishamwambia akiniheshimu ntamuheshimu....basi Kwa sasa tunaheshimiana🤣🤣🤣

Ila akijipindua anajua mwezi hauishi atakuta nimeolewa, talaka ataileta huko huko kwa mume mwengine🤣🤣🤣🤣
 
Nyie ndio mnaotuponza wazaramo wenzenu tusiolewe 🤣🤣🤣
Wanajua wazaramo sio watulivu kwenye ndoa, muda wowote wanasonga mbele km injili
 
Naona kama hii ipo!! Basi wanawake inabidi wajae mahakamani!! Maana wanaume kwa vitendo hivi wanaongozaa!!
 
Mkuu,
Ugoni sio jinai kwa sheria zetu (mainland Tz)
 
Timua mwanamke na huyo mtoto wake,vuta chuma nyingine maisha yaendelee...Wanaume tuna majukumu mengi na makubwa sana ya kimaisha,hamna haja kuhangaika na mwanamke mhuni na uhuni wake.She's for the streets,send her home!
 
Ndoa, we ni nani? Unaumiza watu..
mtaani washakupa jina jingine la tapeli.
mimi siomuhumini wako, ndio mimi sio muhumuni wa ndoa.
ila mbona huku mtaani, kila ugomvi wa watu chanzo ni wewe.

ndoa wewe ni nani hasa?🤔
 
Fidia itampa amani kiasi ya moyo. Video na cctv zinatosha kwenda mahakamani ila aandae fungu la kuanzia mambo yawe na mashiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…