Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais pamoja na Wakuu wake wa Mikoa na Wilaya na wana mamlaka ya kisheria na kikatiba kukuweka ndani kwa muda usiozidi saa 48 'wakihisi' uwepo wako uraiani unahatarisha Amani!
ukijiona kisheria si kosa kutamka unamchukia Rais pia jikumbushe kuwa kisheria si kosa Rais kukuweka ndani akihisi kuna ulazima wa kufanya hivyo
Nyerere hakuwa mtu wa mchezomchezo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mimi ninachuki kubwa sana ambayo siwezi hata kuilezea
and that's why he failedRais pamoja na Wakuu wake wa Mikoa na Wilaya na wana mamlaka ya kisheria na kikatiba kukuweka ndani kwa muda usiozidi saa 48 'wakihisi' uwepo wako uraiani unahatarisha Amani!
ukijiona kisheria si kosa kutamka unamchukia Rais pia jikumbushe kuwa kisheria si kosa Rais kukuweka ndani akihisi kuna ulazima wa kufanya hivyo
Nyerere hakuwa mtu wa mchezomchezo
....Angekuwepo leo mngethubutu kufanya huo upumbavu wenu?Rais pamoja na Wakuu wake wa Mikoa na Wilaya na wana mamlaka ya kisheria na kikatiba kukuweka ndani kwa muda usiozidi saa 48 'wakihisi' uwepo wako uraiani unahatarisha Amani!
ukijiona kisheria si kosa kutamka unamchukia Rais pia jikumbushe kuwa kisheria si kosa Rais kukuweka ndani akihisi kuna ulazima wa kufanya hivyo
Nyerere hakuwa mtu wa mchezomchezo
Mungu akusaidieMimi ninachuki kubwa sana ambayo siwezi hata kuilezea
Tru dat,mi watu wa hovyo hovyo huwa ninachagua kuwadharau tu.chuki ni mzigoChuki humchoma anayeihifadhi!
Acha kumsingizia Nyerere kwa ukatili unaofanywa na Magu..