Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Muendeeni kwa babu yenu kama mnamchukia sasa hapanafanya nn[emoji23][emoji23]kama kumpenda si kosa..hata kumchukia pia sio kosa.
kiukweli huyu jamaa damu zetu haziendani tangu alipo kuwa waziri Wa ujenzi.
alipowaambia watu Wa kigamboni wapige mbizi kama hawana 200.
tangu pale mpaka nakufa.