Kuna sheria yoyote ya Tanzania inayozuia kutamka hadharani kuwa unamchukia Rais wa nchi?

Kuna sheria yoyote ya Tanzania inayozuia kutamka hadharani kuwa unamchukia Rais wa nchi?

sio kosa kikatiba kumchukia mtu, ila kutangaza hadharani na kwa weledi wa hawa makachero wakengeukaji wasio jua sheria wao ni kutumwa kama misukule, utapotezwa haraka sana. kuna brother mmoja alihoji uhalali wa pii hechi dii (phd) ya mtukufu alipotezwa kusikojulikana....awamu hii na ya kwanza ni chungu sana kwa watz.

pamoja na mazuri ya awamu ya kwanza haya matukio ya kupotezwa yalikuwepo, mwl alikuwa hakosolewi kizembe, na akigundua utamsumbua huko mbele ama unamzidi akili anakuzima fasta, enzi hizo tanzania nyeusi.....(sorry maiti haisemwi vibaya)

awamu ambazo watz walienjoy ni ya pili, tatu na nne.
Awamu ya kwanza watu wali enjoy saana!Enzi za Moro jazz,Juwata,DDC mlimani Park,Tuncut Almas n.k.Watu walikuwa wanagoma kula shule wanabembelezwa,wanafunzi wa sekondari na vyuo walipewa nauli ya kuja na kurudi shule,wanavyuo walipewa na posho ya kujikimu,Chuo kikuu bure,kazi unachagua ufanye ipi,Kuna watu walimkosoa sana including mwalimu wangu darasani alikosoa sana sera za Nyerere na darasa letu tulikuwa tukisoma na watoto wa maafisa wa polisi,brigedia wa jeshi,na maafisa wakubwa kabisa mkoani mf.RDD siku hizi nadhani ndo RAS,lakini hakupotezwa bado aliheshimiwa sana!
Enzi hizi ni mambo ya Jesuitism, hata hakuna anayeelewa..ni kumeza pini tu.
 
Enzi za utawala wa makaburu Mandela aligoma hadi kula,makaburu walituma watu kumsihi ale!Sasa leo mtu ajidai anagoma kula..cha moto atakiona maana hata akifa kwa njaa gerezani no one cares as long as amejitakia mwenyewe.
 
Tunazungumzia Sheria ya kumuweka Mtu ndani bila ya kumfikisha Mahakamani imetungwa wakati wa Nyerere Hata Magufuli hajajulikana
Nyerere hajakuwahi kuitumia hii sheria kumkomoa raia wake kwa chuki tuu.. alikuwa anajua nguvu aliopewa na katiba..
 
Nyerere hajakuwahi kuitumia hii sheria kumkomoa raia wake kwa chuki tuu.. alikuwa anajua nguvu aliopewa na katiba..

Pumbavu weweeeee!

Kuna Mtu aliekuwa na Mkono wa Chuma Nchi Hii Kama Nyerere?
 
Yaani watu wana mawazo ya kijinga mnoo. Umchukie kwani anakula kwako?
 
Naomba nijuzwe,

Je, kuna sheria yoyote inayonikataza kutamka hadharani kuwa namchukia rais wa nchi mfano Rais Magufuli?

Maana sitaki nivunje sheria mimi ni mtiifu kwa Katiba.

Naomba majibu wakuu nina haraka kidogo
Kupenda n.a. kuchukia ni hiari . N.a. hakuna lazima ya kumpenda yeyote! Wala sheria haipo.

Ni "hela" tu inayopendwa bila shuruti wala sheria!

Anayetaka kulazimisha kupendwa atakufa kwa kusononeka buree!
 
Awamu ya kwanza watu wali enjoy saana!Enzi za Moro jazz,Juwata,DDC mlimani Park,Tuncut Almas n.k.Watu walikuwa wanagoma kula shule wanabembelezwa,wanafunzi wa sekondari na vyuo walipewa nauli ya kuja na kurudi shule,wanavyuo walipewa na posho ya kujikimu,Chuo kikuu bure,kazi unachagua ufanye ipi,Kuna watu walimkosoa sana including mwalimu wangu darasani alikosoa sana sera za Nyerere na darasa letu tulikuwa tukisoma na watoto wa maafisa wa polisi,brigedia wa jeshi,na maafisa wakubwa kabisa mkoani mf.RDD siku hizi nadhani ndo RAS,lakini hakupotezwa bado aliheshimiwa sana!
Enzi hizi ni mambo ya Jesuitism, hata hakuna anayeelewa..ni kumeza pini tu.
Watu walipotezwa na uhuru wa kuongea haukuwepo usijifanye umesahau.
 
Una haki ya kumpenda au kumchukia mtu yeyote ilimradi chuki yako isiwe ya vitendo yaani kumshambulia kwa vitendo au maneno. Kama ni chuki tu, wewe chukia mpaka upasuke ila knadhani ukitamka hadharani tu kwamba unamchukia Magufuli, kwa polisi hii isiyojua tofauti kati ya magharibi na mashariki utapotezwa. Hivyo nakushauri baki na chuki yako rohoni.
Vitendo huanza na fikra.

By the way hata mimi namchukia huyo mzee wanzuki
 
Aquilina atakua kakuchuna sana weww.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Enzi za utawala wa makaburu Mandela aligoma hadi kula,makaburu walituma watu kumsihi ale!Sasa leo mtu ajidai anagoma kula..cha moto atakiona maana hata akifa kwa njaa gerezani no one cares as long as amejitakia mwenyewe.
Unamaanisha serikali ya fisiemu ina roho mbaya kuzidi serikali ya makaburu.?
 
Chimba shimo alafu uinamie useme namchukia magufuri then upande mti kwenye hilo shimo kila upepo ukija utakua unasikia sauti kutoka kwenye mti ukisema namchukia magufuri!
 
Atakama sheria haipo ila wakikusikia wataifanya iwepo tu mana safari hii tumepata Mungu mtu hakosei
 
Pumbavu weweeeee!

Kuna Mtu aliekuwa na Mkono wa Chuma Nchi Hii Kama Nyerere?

Afadhali mpumbavu kuliko mtu mwenye kichwa kikubwa kama wewe lakini una ubongo wa ndege, tena yule ndege mdogo aitwae tongwa..
Nyerere alikuwa na madaraka makubwa, na kwa mujibu wa katiba ile angeweza kuwa dikteta mbaya kuliko hata huyu wa sasa.. Lakini ulishawahi kusikia mpinzani wake yeyote kisiasa akipigwa risasi..? Ulishasikia akiipendelea wilaya yake ya Butiama kwa kujenga kiwanja kikubwa cha ndege..? Unakumbuka kwanini Rais Mwinyi alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani enzi za Nyerere..? Pamoja na mkono wa chuma unaodai bt at least kulikuwa na kuwajibika pale ambapo maonevu yalifanyika..
Tatizo lako wewe na wenzio wenye ubongo wa ndege tongwa kama wewe, mnaongozwa na njaa.. Lakini subiri, muda si mrefu mtatuelewa..
 
Back
Top Bottom