....Angekuwepo leo mngethubutu kufanya huo upumbavu wenu?
Kuna Unyama gani unafanyika Sasa hivi ambao wakati wa Kambarage haukufanyika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....Angekuwepo leo mngethubutu kufanya huo upumbavu wenu?
Sitaki hata kumuona..
Tena ntamsukumiza kabisaa..Kwaiyoo mkuu akiwa kakamatwa na mamba hutamuokoa??
Tena ntamsukumiza kabisaa..
Awamu ya kwanza watu wali enjoy saana!Enzi za Moro jazz,Juwata,DDC mlimani Park,Tuncut Almas n.k.Watu walikuwa wanagoma kula shule wanabembelezwa,wanafunzi wa sekondari na vyuo walipewa nauli ya kuja na kurudi shule,wanavyuo walipewa na posho ya kujikimu,Chuo kikuu bure,kazi unachagua ufanye ipi,Kuna watu walimkosoa sana including mwalimu wangu darasani alikosoa sana sera za Nyerere na darasa letu tulikuwa tukisoma na watoto wa maafisa wa polisi,brigedia wa jeshi,na maafisa wakubwa kabisa mkoani mf.RDD siku hizi nadhani ndo RAS,lakini hakupotezwa bado aliheshimiwa sana!sio kosa kikatiba kumchukia mtu, ila kutangaza hadharani na kwa weledi wa hawa makachero wakengeukaji wasio jua sheria wao ni kutumwa kama misukule, utapotezwa haraka sana. kuna brother mmoja alihoji uhalali wa pii hechi dii (phd) ya mtukufu alipotezwa kusikojulikana....awamu hii na ya kwanza ni chungu sana kwa watz.
pamoja na mazuri ya awamu ya kwanza haya matukio ya kupotezwa yalikuwepo, mwl alikuwa hakosolewi kizembe, na akigundua utamsumbua huko mbele ama unamzidi akili anakuzima fasta, enzi hizo tanzania nyeusi.....(sorry maiti haisemwi vibaya)
awamu ambazo watz walienjoy ni ya pili, tatu na nne.
Nyerere hajakuwahi kuitumia hii sheria kumkomoa raia wake kwa chuki tuu.. alikuwa anajua nguvu aliopewa na katiba..Tunazungumzia Sheria ya kumuweka Mtu ndani bila ya kumfikisha Mahakamani imetungwa wakati wa Nyerere Hata Magufuli hajajulikana
Nyerere hajakuwahi kuitumia hii sheria kumkomoa raia wake kwa chuki tuu.. alikuwa anajua nguvu aliopewa na katiba..
Kupenda n.a. kuchukia ni hiari . N.a. hakuna lazima ya kumpenda yeyote! Wala sheria haipo.Naomba nijuzwe,
Je, kuna sheria yoyote inayonikataza kutamka hadharani kuwa namchukia rais wa nchi mfano Rais Magufuli?
Maana sitaki nivunje sheria mimi ni mtiifu kwa Katiba.
Naomba majibu wakuu nina haraka kidogo
Watu walipotezwa na uhuru wa kuongea haukuwepo usijifanye umesahau.Awamu ya kwanza watu wali enjoy saana!Enzi za Moro jazz,Juwata,DDC mlimani Park,Tuncut Almas n.k.Watu walikuwa wanagoma kula shule wanabembelezwa,wanafunzi wa sekondari na vyuo walipewa nauli ya kuja na kurudi shule,wanavyuo walipewa na posho ya kujikimu,Chuo kikuu bure,kazi unachagua ufanye ipi,Kuna watu walimkosoa sana including mwalimu wangu darasani alikosoa sana sera za Nyerere na darasa letu tulikuwa tukisoma na watoto wa maafisa wa polisi,brigedia wa jeshi,na maafisa wakubwa kabisa mkoani mf.RDD siku hizi nadhani ndo RAS,lakini hakupotezwa bado aliheshimiwa sana!
Enzi hizi ni mambo ya Jesuitism, hata hakuna anayeelewa..ni kumeza pini tu.
Vitendo huanza na fikra.Una haki ya kumpenda au kumchukia mtu yeyote ilimradi chuki yako isiwe ya vitendo yaani kumshambulia kwa vitendo au maneno. Kama ni chuki tu, wewe chukia mpaka upasuke ila knadhani ukitamka hadharani tu kwamba unamchukia Magufuli, kwa polisi hii isiyojua tofauti kati ya magharibi na mashariki utapotezwa. Hivyo nakushauri baki na chuki yako rohoni.
Kikwete na mkapa ndio walioleta hilo dude linalokunywa damu kila kukicha.kama kumpenda si kosa..hata kumchukia pia sio kosa.
kiukweli huyu jamaa damu zetu haziendani tangu alipo kuwa waziri Wa ujenzi.
alipowaambia watu Wa kigamboni wapige mbizi kama hawana 200.
tangu pale mpaka nakufa.
Unamaanisha serikali ya fisiemu ina roho mbaya kuzidi serikali ya makaburu.?Enzi za utawala wa makaburu Mandela aligoma hadi kula,makaburu walituma watu kumsihi ale!Sasa leo mtu ajidai anagoma kula..cha moto atakiona maana hata akifa kwa njaa gerezani no one cares as long as amejitakia mwenyewe.
Pumbavu weweeeee!
Kuna Mtu aliekuwa na Mkono wa Chuma Nchi Hii Kama Nyerere?
Umesha sema mbonaMe namchukia kimoyo moyo sisemi [emoji23][emoji23]