Kuna sheria yoyote ya Tanzania inayozuia kutamka hadharani kuwa unamchukia Rais wa nchi?

kama kumpenda si kosa..hata kumchukia pia sio kosa.
kiukweli huyu jamaa damu zetu haziendani tangu alipo kuwa waziri Wa ujenzi.
alipowaambia watu Wa kigamboni wapige mbizi kama hawana 200.
tangu pale mpaka nakufa.
Muendeeni kwa babu yenu kama mnamchukia sasa hapanafanya nn[emoji23][emoji23]
 
Sasa Nyerere hapa anahusikaje?.
 
Naomba nijuzwe,

Je, kuna sheria yoyote inayonikataza kutamka hadharani kuwa namchukia rais wa nchi mfano Rais Magufuli?

Maana sitaki nivunje sheria mimi ni mtiifu kwa Katiba.

Naomba majibu wakuu nina haraka kidogo
wengi wanashitakiwa kwa kutamka maneno ambayo yanaweza kusababisha amani kutoweka. mfano, kama kuna watu wanaompenda magufuli (hata kama wewe humpendi), ukatamka vibaya mbele yao mkarushiana ngumi ndicho kinachozuiwa hapa, hivyo kuwa makini na maneno yako yasiwe ya kuudhi watu wanaokuzunguka amani ikatoweka kwa namna yeyote ile. soma kifungu cha 89(1)(a) cap.16
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…