Konte
Member
- Jul 26, 2017
- 86
- 131
Habari zenu wakuu.
Hizi siku mbili battery ya gari (IST) imenisumbua mno, bila shaka muda wake wa matumizi umekwisha.
Kwa sasa sina pesa ya kununua battery nyingine kureplace hii iliyokufa(N40), uhakika wa kununua battery mpya ni baada ya wiki mbili. Kuna gari nyingine hapa (Verossa) ambayo battery yake (N50) ipo vizuri na gari inatumika mara chache sana hasa siku za weekend tu.
Battery za hizo gari mbili zinatofautiana kuanzia ukubwa wa muonekano bila shaka mpaka umeme unaozalishwa. Nimejaribu kuiweka ya Verrosa kwenye IST imekaa vizuri tu.
Nimewaza kuchukua hiyo battery ya Verossa niitumie kwenye IST mpaka pale nitakaponunua battery mpya ya IST.
Naomba kujuzwa kitaalamu kama ni sawa kufanya hivyo pamoja na matokeo hasi yanayoweza kutokea.
Nawasilisha.
Hizi siku mbili battery ya gari (IST) imenisumbua mno, bila shaka muda wake wa matumizi umekwisha.
Kwa sasa sina pesa ya kununua battery nyingine kureplace hii iliyokufa(N40), uhakika wa kununua battery mpya ni baada ya wiki mbili. Kuna gari nyingine hapa (Verossa) ambayo battery yake (N50) ipo vizuri na gari inatumika mara chache sana hasa siku za weekend tu.
Battery za hizo gari mbili zinatofautiana kuanzia ukubwa wa muonekano bila shaka mpaka umeme unaozalishwa. Nimejaribu kuiweka ya Verrosa kwenye IST imekaa vizuri tu.
Nimewaza kuchukua hiyo battery ya Verossa niitumie kwenye IST mpaka pale nitakaponunua battery mpya ya IST.
Naomba kujuzwa kitaalamu kama ni sawa kufanya hivyo pamoja na matokeo hasi yanayoweza kutokea.
Nawasilisha.