Kuna shida Gani kwenye Operation za Uzazi? Hivi vifo ni mimi tu naona?

Kuna shida Gani kwenye Operation za Uzazi? Hivi vifo ni mimi tu naona?

Inasikitisha sana, pamoja na uzembe wa ma Dakitari ila mtindo wa maisha unachangia pia. Sisi Mama zetu walienda shambani wakowa na mimba ya miezi minane tena unakuta analima, anachota maji etc, ukifika wakati wa kujifungua mtoto anafyatuka! Ila wa kisasa kidogo tu hawezi kusukuma, anapelekwa operation. Nadhani kuna umuhimu wa elimu ya mimba kutolewa kwa wazazi vijana
kwa hiyo hii ndio inafanya doctors washindwe kwenye operation kiasi cha kusababisha vifo!!
Kuna kitu hapa chawa wa mama unakichawia; siri kali ya fudenge chini ya chama kinachoongozwa na fudenge wanachawia sehemu kiasi cha kuleta majanga haya.
Ahsante kwa kujitambulisha chawa wa kuchawia hoja.
 
Inaumiza sana ndugu zangu.
Watu wa 3 ninaowafahamu, wengine wa 3 ni watu wa karibu wa marafiki zangu..
Katika miezi 4 wamepoteza maisha Wote kwa operation ya uzazi, achilia mbali wale ninaosikia mtu pembeni akiongea.

Inauma Sana ndugu zangu,
Mnampeleka mpendwa wenu hospital akiwa mzimaa mpate malaika, mnaambulia Miili miwili isiyotikisikaa... Mbaya zaidi uone kuna hali ya uzembe ilifanyika.
Isikie tuu hii kwa mtu ndugu yangu..

Hiki ni nini? Au ni coincidence tuu kwa bahati mbaya imetokea zaidi kwa watu ninaowafahamu?
Hivi hua hospital wana keep Data? If yes Are they real? Data zinasemaje? Zinafanyiwa kazi? Maana sidhani kama ni kawaida..

Kwa Moyo wa dhati NIIOMBE Serikali kupitia wizara ya Afya Fuatilieni hili Zaidi, kuna uzembe,
Mmoja kati ya hao Pamba ilisahaulika Tumboni Dodoma hapo, mwingine naye mistake katika kutenganisha Kitovu, Mwingine naye kuna sehemu ilikawa vibaya...
Haya ni makosa ya kibinadamu..
Hatuna chance ya makosa ya kibinadamu katika Afya ya mtu jamani..

Wahusika Niwaombe ndugu zetu, nyie ni professional, mmekula viapo, Mnalipwa, Jitoeni katika kazi zenu, Fanya Ukijua uhai wa viumbe hao upo mikononi mwako,
Kueni makini na Afya za Mama zetu, Dada zetu na wote kwa ujumla, mmeaminiwa sanaa..
Itokee kwa mipango ya Mungu ila sio kwa uzembe..

Serikali nawaomba Sana viongozi wangu, Chukueni hili katika positive way ya kuokoa mama na mtoto..
Siandiki hapa kama Niliyepoteza Mke au Ndugu, naandika kama binadamu niliyeumia SANAA kuona ndugu zetu hawa Wanatutoka katika picha kama hizo...

Nawaomba Tena Chukueni hili katiaka Positive way,
Mpo hapo kuokoa jamii kubwa nyuma yenu, Jivunie Kuo mmoja wa waliokoa mamia ya mama zetu na taifa la kesho, Siku Moja utalipwa, this is real sio siasa.
Ni suala la kitaalamu, litatuliwe kitaalamu.

Rai kwa Mama na dada zangu, Mnaopokua wajawazito, Punguzeni Utandawazi, epukeni Uzazi wa operation usio wa lazima kwa kisingizio hutaki uchungu, Jipe mazoezi.

Poleni Sana Wote mlitokwa na Wapendwa Wenu katika picha kama hii..

AMEN.
Likely kuna tatizo mahali.

Kisayansi kujifungua kwa upasuaji mkubwa alias C-Section inaelezwa kua ndio njia salama zaidi na ya uhakika...taking aside few complications.

Sasa ikitokea inakua tena sio salama vifo vinajitokeza lazima wataalamu watuambie shida iko wapi?

Ni vifaa, vifaa tiba, utaalamu duni, ucheleweshaji au nini hasa...haya yote ni ya kitaalamu na hayahitaji watabiri wa kuupiga mwingi.
 
Inaumiza sana ndugu zangu.
Watu wa 3 ninaowafahamu, wengine wa 3 ni watu wa karibu wa marafiki zangu..
Katika miezi 4 wamepoteza maisha Wote kwa operation ya uzazi, achilia mbali wale ninaosikia mtu pembeni akiongea.

Inauma Sana ndugu zangu,
Mnampeleka mpendwa wenu hospital akiwa mzimaa mpate malaika, mnaambulia Miili miwili isiyotikisikaa... Mbaya zaidi uone kuna hali ya uzembe ilifanyika.
Isikie tuu hii kwa mtu ndugu yangu..

Hiki ni nini? Au ni coincidence tuu kwa bahati mbaya imetokea zaidi kwa watu ninaowafahamu?
Hivi hua hospital wana keep Data? If yes Are they real? Data zinasemaje? Zinafanyiwa kazi? Maana sidhani kama ni kawaida..

Kwa Moyo wa dhati NIIOMBE Serikali kupitia wizara ya Afya Fuatilieni hili Zaidi, kuna uzembe,
Mmoja kati ya hao Pamba ilisahaulika Tumboni Dodoma hapo, mwingine naye mistake katika kutenganisha Kitovu, Mwingine naye kuna sehemu ilikawa vibaya...
Haya ni makosa ya kibinadamu..
Hatuna chance ya makosa ya kibinadamu katika Afya ya mtu jamani..

Wahusika Niwaombe ndugu zetu, nyie ni professional, mmekula viapo, Mnalipwa, Jitoeni katika kazi zenu, Fanya Ukijua uhai wa viumbe hao upo mikononi mwako,
Kueni makini na Afya za Mama zetu, Dada zetu na wote kwa ujumla, mmeaminiwa sanaa..
Itokee kwa mipango ya Mungu ila sio kwa uzembe..

Serikali nawaomba Sana viongozi wangu, Chukueni hili katika positive way ya kuokoa mama na mtoto..
Siandiki hapa kama Niliyepoteza Mke au Ndugu, naandika kama binadamu niliyeumia SANAA kuona ndugu zetu hawa Wanatutoka katika picha kama hizo...

Nawaomba Tena Chukueni hili katiaka Positive way,
Mpo hapo kuokoa jamii kubwa nyuma yenu, Jivunie Kuo mmoja wa waliokoa mamia ya mama zetu na taifa la kesho, Siku Moja utalipwa, this is real sio siasa.
Ni suala la kitaalamu, litatuliwe kitaalamu.

Rai kwa Mama na dada zangu, Mnaopokua wajawazito, Punguzeni Utandawazi, epukeni Uzazi wa operation usio wa lazima kwa kisingizio hutaki uchungu, Jipe mazoezi.

Poleni Sana Wote mlitokwa na Wapendwa Wenu katika picha kama hii..

AMEN.
Inabidi kila kifo namna hiyo serikali ichunguze na itagunduwa madhaifu yako wapi.
 
tangu jiwe asepe uozo umeongezeka wa kutisha
Wewe usifananishe kila kitu na marehemu.

Unakuwa Kama kipofu aliyeona punda.


Majanga ya madeni ya kijinga aliyotuingiza yule bwana saa hizi pesa tunazolipia nadeni yake ya kijinga zingesaidia sehemu kubwa sana ya Watanzania.

Tukubali tu, alikuwa na nazuri yake machache na alikuwa na makosa yake mengi tu.
 
Kwa.muj8bu wa habari zilizopo, sasa hivi vimepunguwa.
Vifaa vimesambazwa mahospitalini pia mafunzo ya mara kwa mara kwa madaktari na wauguzi yanaendelea.

in shaa Allah vitaendelea kupatiwa ufumbuzi.
.ifik7e wakati ikiwa tatizo ni la daktari au watowa huduma wachukuliwe hatua.
 
Inaumiza sana ndugu zangu.
Watu wa 3 ninaowafahamu, wengine wa 3 ni watu wa karibu wa marafiki zangu..
Katika miezi 4 wamepoteza maisha Wote kwa operation ya uzazi, achilia mbali wale ninaosikia mtu pembeni akiongea.

Inauma Sana ndugu zangu,
Mnampeleka mpendwa wenu hospital akiwa mzimaa mpate malaika, mnaambulia Miili miwili isiyotikisikaa... Mbaya zaidi uone kuna hali ya uzembe ilifanyika.
Isikie tuu hii kwa mtu ndugu yangu..

Hiki ni nini? Au ni coincidence tuu kwa bahati mbaya imetokea zaidi kwa watu ninaowafahamu?
Hivi hua hospital wana keep Data? If yes Are they real? Data zinasemaje? Zinafanyiwa kazi? Maana sidhani kama ni kawaida..

Kwa Moyo wa dhati NIIOMBE Serikali kupitia wizara ya Afya Fuatilieni hili Zaidi, kuna uzembe,
Mmoja kati ya hao Pamba ilisahaulika Tumboni Dodoma hapo, mwingine naye mistake katika kutenganisha Kitovu, Mwingine naye kuna sehemu ilikawa vibaya...
Haya ni makosa ya kibinadamu..
Hatuna chance ya makosa ya kibinadamu katika Afya ya mtu jamani..

Wahusika Niwaombe ndugu zetu, nyie ni professional, mmekula viapo, Mnalipwa, Jitoeni katika kazi zenu, Fanya Ukijua uhai wa viumbe hao upo mikononi mwako,
Kueni makini na Afya za Mama zetu, Dada zetu na wote kwa ujumla, mmeaminiwa sanaa..
Itokee kwa mipango ya Mungu ila sio kwa uzembe..

Serikali nawaomba Sana viongozi wangu, Chukueni hili katika positive way ya kuokoa mama na mtoto..
Siandiki hapa kama Niliyepoteza Mke au Ndugu, naandika kama binadamu niliyeumia SANAA kuona ndugu zetu hawa Wanatutoka katika picha kama hizo...

Nawaomba Tena Chukueni hili katiaka Positive way,
Mpo hapo kuokoa jamii kubwa nyuma yenu, Jivunie Kuo mmoja wa waliokoa mamia ya mama zetu na taifa la kesho, Siku Moja utalipwa, this is real sio siasa.
Ni suala la kitaalamu, litatuliwe kitaalamu.

Rai kwa Mama na dada zangu, Mnaopokua wajawazito, Punguzeni Utandawazi, epukeni Uzazi wa operation usio wa lazima kwa kisingizio hutaki uchungu, Jipe mazoezi.

Poleni Sana Wote mlitokwa na Wapendwa Wenu katika picha kama hii..

AMEN.
Hakuna madaktari siku hizi!
Kila WAKATI ni kugoogle hawatumii akili Yao hata kidogo
 
Kwa.muj8bu wa habari zilizopo, sasa hivi vimepunguwa.

Vifaa vimesambazwa mahospitalini pia mafunzo ya mara kwa mara kwa madaktari na wauguzi yanaendelea.

in shaa Allah vitaendelea kupatiwa ufumbuzi.
Dr Aron Chiduo alikuwa waziri wa afya na alikuwa anatibu kuonyesha mfano
Waziri wa afya Sasa amesomea maendeleo ya jamii unatarajia nini
 
Tatizo ni nchi kuongoza na Ke na kuruhusu Ke kufa wengi
Hilo siyo tatizo. Pitia takwimu.

 
Back
Top Bottom