Kuna shida Gani kwenye Operation za Uzazi? Hivi vifo ni mimi tu naona?

alitaka kuwashtaki naona hosp waliongea nae akaacha lakini ni kweli wa tanzania tunakosa hela kizembe hapo angekomaa nao angepata hela ndefu tatizo ukifika kwa mwanasheria anakwambia kufile kesi ni milioni tatu sasa ni watu wangapi wana hiyo pesa.
Zipo taasisi kibao zinatoa msaada wa kisheria.. hapo akifanya sii kwaajili ya marehemu pekee.. pia itawasaidia wengine watakao fuata.

Pia kuna baraza la madaktari kuna platform ya kushughulikia haya mambo

POLE SANA MKUU
 
Acha uongo....C section comes with greater risks kuliko vaginal delivery.
Standard procedure inakuhitaji uwe na sababu ya msingi ya kufanya C section sababu normal delivery ni priority.
 
wee huko kidogo mama yangu mdogo alale yooo, eti professional doctor 😆 akasahau kushona ngozi ya ndani sijui ila nakumbuka aliteseka sana almost a year.
Sijui kwa sasa...ila kuliko kwenda general au udom I prefer there...
Kwani kusahau kitu kunamuondelea mtu kuwa professional? Sema ni uzembe,maybe ulevi n.k....
 
INAWEZEKANA MADAKTARI WANAFUNZI WANAACHIWA KAZI ZOTE
 
Zipo taasisi kibao zinatoa msaada wa kisheria.. hapo akifanya sii kwaajili ya marehemu pekee.. pia itawasaidia wengine watakao fuata.

Pia kuna baraza la madaktari kuna platform ya kushughulikia haya mambo

POLE SANA MKUU
Naona alianza kumalizana na hosp tuu maana alikuwa na hali mbaya alichokuwa anataka ni kupona tuu
 
Sijui kwa sasa...ila kuliko kwenda general au udom I prefer there...
Kwani kusahau kitu kunamuondelea mtu kuwa professional? Sema ni uzembe,maybe ulevi n.k....
ilikuwa 2016 anaishi dom lakini watoto wake hakuwahi jifungulia dom kwasababu kulikuwa hamna hosp inayoaminika kwenye uzazi ndo ikaja hiyo hosp akasema ngoja ajifungulie hapo anasikia wapo vizuri ndo ikawa hivyo hawakumshona vizuri
 
Well Said !!!
 
Hivi wanawake wote wanaoanza kuzaa at their 30'S hua wanazaa Kwa kisu
 
We jamaa najua ni Dr na huwa unafanya Cesarean Operation what mistake happened wakati wa hilo zoezi mpaka kupelekea kifo Cha either mama au mtoto?


Isije ikawa tunawalamu bure madatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…