Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Tanzania hatuna kiwanda cha kutengeneza ream
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi mnaibiwa sana kwa kuendekeza majina makubw ya shule.Kuna hii kitu wamiliki wa mashule washaona ulaji ss tena wanasisitiza lazima kununua shuleni na si vingnevyo ..Ream ya 12 inauzwa 20,000 file la 2000 linauzwa elf 4500 daftrI la 2000 linauzw 3500 wamekuwa na ujizi flan hivi usiombe mwanao apoteze kitabu bei inakatibia ada ya robo muhula
Njanuary🤣🤣🤣🤣🪑💺January
Ova
2010 ndio mwanzo wa matumizi ya ream papers?Miaka gani ream ilikuwa 5000, ? Toka 2010 niliponunua ream mara ya kwanza kwa sh 9000/- sijawah pata popote ream chin ya hio bei
Ngoja waje wataalam.Kumbe rimu zina majina? Mtoto kaambiwa apeleke rimu inaitwa Double A. Tofauti ni nini alafu hiyo rimu bei juu kuliko zingine. Tunaomba elimu hapa mtusaidie.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Acha uongoMkuu usibisbe 2009 nilikua form 3 na nilinunua ream 5000
2012 Niko form 6 bado nilikua nanunua ream 5000
gsm ngapi?Nauza ream paper tsh 8000 kuanzia pic 50 ukitaka nitafute.
Mwongo mkubwa wewe. Tena ficha upumbavu wako.Mkuu usibisbe 2009 nilikua form 3 na nilinunua ream 5000
2012 Niko form 6 bado nilikua nanunua ream 5000
Ni nzuri sana kwa kuprintia, hazikwami kwami kwenye printer.Kumbe rimu zina majina? Mtoto kaambiwa apeleke rimu inaitwa Double A. Tofauti ni nini alafu hiyo rimu bei juu kuliko zingine. Tunaomba elimu hapa mtusaidie.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Miaka ya nyuma kidogo bati futi kumi gauge 30 liliuzwa sh 8000,cement mfuko mmoja uliuzwa sh 5000,sukari iliuzwa sh 1500 per kg,mafuta ya petrol yaliuzwa sh 1800 kwa lita,mbona hushangai,unakuja kushangaa vitu ambavyo matumizi yakeni nadra sana kwa jamiiMiaka ya nyuma kidogo bei ya ream ilikuwa tsh 3500 hadi 5000,lkn ghafla unashangaa bei imepanda zaidi ya asilimia mia moja. Kulikoni.
Labda kiwandani,Mkuu usibisbe 2009 nilikua form 3 na nilinunua ream 5000
2012 Niko form 6 bado nilikua nanunua ream 5000