Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Neverkwanza kuomba tu kuisaidia CONGO tayr unatangaza vita na uchina,marekani,ubelgiji na ufaransa.
Hakuna kete yoyote, huo mgogoro hauna athari zozote za maana kwa mataifa makubwa yenye nguvu za kuumaliza kwa hiyo hawaupi umuhimu au kipaumbele chochote.kagame, uganda,m23, jeshi la congo, raisi wa congo, kiongozi wenu, SADC, UN, JWTZ...hivyo vyote ni kama KETE ZA DRAFTI ambazo kuna watu wanazichezesha kwa kutaka hii ikae pale na kete hii ifike pale....so wewe kama KETE huna uwezo wa kujipeleka popote pale,bali utasubiri mchezaji akupeleke anapotaka yeye...VITA YA CONGO NI MCHEZO...✍️✍️
Hakuna kitu kama icho! jk alifanyaje 2012?😅😊☺️ Mkuu kwaio tungekua ni ulaya ndogo
War siku zote ni easy to start Ila difficulty to end.
Tukiingia kwenye hii vita itasababisha hasara kubwa kuliko faida yaan ni Bora kusaidia ki jumuia Ila kichwa kichwa hata maadui zetu wata side na m23 then tukajikuta tunapoteza hata hicho kidogo tulicho nachoo
M23 Wana drone wewe una jeshi la mkoloni kila kitu manual... Unapasua tofali kwa kichwa, una mavifaru outdated , ndege za vita outdated.....tusi wa underrate Rwanda inaweza kujikuta TUNAOMBA hifadhi sudani kusini,Uganda, Zambia, Malawi na ughaibuni..Hakuna kitu kama icho! jk alifanyaje 2012?
Ndiyo Kagame aambiwe kabisa aache kuisaidia M23. Na asiposikia wakate mbupu zake. Kwa nini kamtu kamoja kaendelee kusumbua jirani yake kwa muda mrefu namna hii na majirani wengine wapo hawachukui hatua kali dhidi ya jirani mkorofi? Tatizo lipo wapi?NI kwamba, kwa sababu Rwanda wanawasaidia M23, tukitangaza kuwasaidia DRC maana yake tumetangaza vita na Rwanda.
Hana ubavu wa kulishinda JWTZ yuleMna mu underrate yule mtu mrefu ila tambueni kua amekulia polini anajua intelgence ya vita, mnajua kwa nn kapeleka wanajeshi wake kule Mozambique ile ni long term plan sku tukisema vyoko atuzunguke,
Kwa hiyo una maanisha Jeshi letu halina drone?M23 Wana drone wewe una jeshi la mkoloni kila kitu manual... Unapasua tofali kwa kichwa, una mavifaru outdated , ndege za vita outdated.....tusi wa underrate Rwanda inaweza kujikuta TUNAOMBA hifadhi sudani kusini,Uganda, Zambia, Malawi na ughaibuni..
Akikuuliza mambo ya DRC na Rwanda yanakuhusu nini utamjibuje??Ndiyo Kagame aambiwe kabisa aache kuisaidia M23. Na asiposikia wakate mbupu zake. Kwa nini kamtu kamoja kaendelee kusumbua jirani yake kwa muda mrefu namna hii na majirani wengine wapo hawachukui hatua kali dhidi ya jirani mkorofi? Tatizo lipo wapi?
M23 kama wameteka Goma watangaze Nchi.Leo tunajenga reli ya SGR kwa dhumuni ifike Mashariki mwa Congo. Swali ni Je hiyo reli itakuwa na faida kama Mashariki mwa Congo kukiendelea kuwa vitani namna hii?
Tuache suala la reli. Hivi Je Viongozi wetu hawajui tunaweza faidika kiuchumi endapo leo hii tukiwasaidia wazi Congo kwenye vita yao shidi ya M23?
Marekani, Uingereza na Ujerumani wanatoa msaada mkubwa kwa Ukraine kupambana na Urusi. Msaada ule sio msaada kama msaada ni mkopo ambao Ukraine watazilipa nchi zile kwa miaka mingi ijayo!
Tuseme Viongozi wetu hawa hawaoni kuwa tunaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Congo sisi kama Tanzania ( Sio chini ya mwamvuli wa SADC au AU au EAC) na tukautumia kama mkopo kwa nchi ya Congo ambapo baadae watatulipa hata kwa karne nzima na tulafaidika kiuchumi?
Hivi nchi hii kuna Think Tanks? Ni kina nani hao Think Tanks? Wana Mchango gani positively kwa maendeleo ya Taifa?
Aliyekwambia kuna mambo ya kimya kimya vitani ni nani? Ukiwa ni mtanzania ukaenda kupigana upande mwingine utajulikana tu ni mtanzania.Hapana. Katika geopolitics kuna vitu vingine unafanya kimya kimya. Rwanda anajua kabisa JWTZ wakienda kusaidia DRC dhidi ya M23 ni kwamba wanapigana dhidi ya wanajeshi wa Rwanda. Sasa badala ya kupiga kelele tunafanya kimya kimya tu.Kumbuka hata Rwanda anasema yeye majeshi yake hayapo DRC na M23. Kwa hiyo acha zipigwe kimya kimya. Tatizo ni kwamba Kagame anaona jeshi lake ni kiboko sana hakuna nchi ya Africa inaweza kumpiga
Ni kweli kabisaWatu wanavyoona marekani anaenda kupigana Iraq na Afghanistan huko wanadhani anapenda vita kumbe kuna faida za kiuchumi?
Wanakula hela za marekani kuwanunulia ARV na kuwajengea vyoo wanafikiri zinapatikana na kodi tu za Wamarekani.
How comes tunashindwa kumsaidia Congo kwa kufikiria kufaidika kiuchumi?
Mkuu,Kwa hiyo una maanisha Jeshi letu halina drone?
Acha kutudharau dogo.
Tanzania ni mwanachama wa SADC hivyo ilishatangazwa tayari kuwa SADC inamsaidia mwanachama wake DRC kupambana na M23. Mkuu wewe unataka lazima TZ nayo itangaze? Au tatizo ni uelewa wa mambo unakupiga chenga?Leo tunajenga reli ya SGR kwa dhumuni ifike Mashariki mwa Congo. Swali ni Je hiyo reli itakuwa na faida kama Mashariki mwa Congo kukiendelea kuwa vitani namna hii?
Tuache suala la reli. Hivi Je Viongozi wetu hawajui tunaweza faidika kiuchumi endapo leo hii tukiwasaidia wazi Congo kwenye vita yao shidi ya M23?
Marekani, Uingereza na Ujerumani wanatoa msaada mkubwa kwa Ukraine kupambana na Urusi. Msaada ule sio msaada kama msaada ni mkopo ambao Ukraine watazilipa nchi zile kwa miaka mingi ijayo!
Tuseme Viongozi wetu hawa hawaoni kuwa tunaweza kutoa msaada wa kijeshi kwa Congo sisi kama Tanzania ( Sio chini ya mwamvuli wa SADC au AU au EAC) na tukautumia kama mkopo kwa nchi ya Congo ambapo baadae watatulipa hata kwa karne nzima na tulafaidika kiuchumi?
Hivi nchi hii kuna Think Tanks? Ni kina nani hao Think Tanks? Wana Mchango gani positively kwa maendeleo ya Taifa?
Umaskini wetu ni upi mkuu? Au una maanisha umaskini wa akili au umasikini wa viogozi wenye huruma na mali za uma?Mkuu,
Tujibu hoja mambo ya kuitana dogo usipendelee.
Maana tumekuwepo humu kabla yako.
Kuhusu vita usi wa underrate m23 maana mpaka Sasa umeona kinacho endelea mashariki ya Kati.. Israel mpaka Sasa licha ya kua na kila kitu kashindwa kumaliza vita yake the same kwa Russia vs Ukraine
So Sisi ni maskini ndio maana huwa tunapima unga kilo kilo kwa mangi na kila siku tunaacha Kodi ya meza asubuh Ndio tukachokoze vita ya watu WAKATI sisi wenyewe tupo vitani
Kwa hiyo Tanzania imetoa tangazo rasmi inaenda kusaidia DRC dhidi ya M23?Aliyekwambia kuna mambo ya kimya kimya vitani ni nani? Ukiwa ni mtanzania ukaenda kupigana upande mwingine utajulikana tu ni mtanzania.
Watu wanaposema vita ndo iwe suluhu ya mwisho hawajakosea, vita ni kitu kingine kabisa.
Ana wakubwa nyuma yake wenye nguvu duniani.So kwa hoja yako una maanisha Rwanda kashindikana? Na anaweza fanya lolote lile bila kufanywa chochote kile?
Za gloves tu hamna 🤣🤣Kwa nini tusiwe nazo?