Kuna shida kubwa ya maji Chato. Waziri Kalemani hajali kitu, anachojali ni kusambaza taa za mitaani

Kuna shida kubwa ya maji Chato. Waziri Kalemani hajali kitu, anachojali ni kusambaza taa za mitaani

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kama kuna waziri anayepwaa katika uongozi basi ni Dk Kalemani. Maana hana maono ya uongozi.

Kiongozi mwenye busara utasambaza taa za mitaani huku wananchi hawana uhakika wa kupata maji?

Yapata wiki sasa maji hayatoki mambombani, yakitoka yanatoka usiku kidogo tu. Kama mbunge kwa nini hautatui hii kero?

Unadhani taa za sola zikiwekwa mitaaani zitawasaidia wananchi?
 
Chato panastahili hali hiyo. Maana ndipo mahali alipotokea dikteta aliyeuwa na kuteka watanzania wengi sana
 
Chado ndio wapi?
Afadhali nyie hata kidogo yapo.huku wenzenu huwa nikufuata maji mtoni miaka yote
 
Kama utawala huu ungesambaza maji kila kona wangeongeza na bill za maji sasa hivi. Hawataki kuwekeza, maji ni huduma inayolipa sana kwani kila mtu anayatumia.
 
Kama kuna waziri anayepwaa katika uongozi basi ni Dk Kalemani. Maana hana maono ya uongozi.

Kiongozi mwenye busara utasambaza taa za mitaani huku wananchi hawana uhakika wa kupata maji?

Yapata wiki sasa maji hayatoki mambombani, yakitoka yanatoka usiku kidogo tu. Kama mbunge kwa nini hautatui hii kero?

Unadhani taa za sola zikiwekwa mitaaani zitawasaidia wananchi?
Hivi huko chato ndiyo sehemu gani ya Tanzania?
 
Back
Top Bottom