Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Aug 7, 2021 #21 Elli M said: Wacha waisome namba eeegh.. Click to expand... Tiko bize tukiwaandama wenye mawazo mbadala na wale wakatiba mpya.
Elli M said: Wacha waisome namba eeegh.. Click to expand... Tiko bize tukiwaandama wenye mawazo mbadala na wale wakatiba mpya.
Amun Ra JF-Expert Member Joined Jul 30, 2021 Posts 4,713 Reaction score 7,218 Aug 7, 2021 #22 uyu si ndio yule waziri alietuma watu kutoa cctv
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Aug 7, 2021 #23 kipara20 said: uyu si ndio yule waziri alietuma watu kutoa cctv Click to expand... Wapetaarifa waimba mapambio wote wa enzi ile.
kipara20 said: uyu si ndio yule waziri alietuma watu kutoa cctv Click to expand... Wapetaarifa waimba mapambio wote wa enzi ile.
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Aug 7, 2021 #24 Chato wana taa za barabarani, uwanja wa ndege wa kimataifa na mahoteli ya kitalii lakini hawana maji?! Viongozi wa huko mbona hamuifanyii wilaya yenu haki?
Chato wana taa za barabarani, uwanja wa ndege wa kimataifa na mahoteli ya kitalii lakini hawana maji?! Viongozi wa huko mbona hamuifanyii wilaya yenu haki?