Kuna shida ya takwimu za TCRA kuhusu matumizi ya GB kwa mitandao ya kijamii

Kuna shida ya takwimu za TCRA kuhusu matumizi ya GB kwa mitandao ya kijamii

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Nimeangalia matumizi ya GBs kwa robo mbalimbali nchini nimegundua kuna shida kwenye takwimu wanazotoa TCRA. Kwa robo ya mwisho ya mwaka 2022 walionesha kuwa tulitumia jumla ya GB Trilioni 90.1
Screenshot 2023-06-06 at 14-01-10 Quarter 2 Communications Statistics - Revised Final (1)_1677...png


Kwa robo ya kwanza ya mwaka 2023, data zimebadilika hadi kufikia GB milioni 48
Screenshot 2023-06-06 at 14-02-17 Communication Statistics for Q3 2023_1683027180.pdf.png


Mimi niombe ufafanuzi kwa hili jambo kwa ripoti waliyotoa Decmber 2022 na ripoti ya March 2023.
 
Unataka kuziamini takwimu zilizoandaliwa na wabongo? Pole Chief!
 
Back
Top Bottom