Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
Ni January inakaribia ndyo nakumbuka kuna kitu kinaitwa efd machine na kutoa risiti kwakweli kwangu ni ngumu,syo makusudi bali ni kusahau tu.
Sikumbuki huu mwaka unaenda kuisha nadhani nimeitumia kama miezi minne tu zikiisha rola ndo kabisa nasahau kila kitu.
Lakini TRA wameniwekea makadilio ya kodi ambayo inalipwa kila baada ya miezi mitatu,yaani mara nne kwa mwaka. Je,kuna shida yoyote hapo? Kwasabab kama kodi nalipa kila kitu ila shida ndyo machine yao kuitumia mtihani.
Sikumbuki huu mwaka unaenda kuisha nadhani nimeitumia kama miezi minne tu zikiisha rola ndo kabisa nasahau kila kitu.
Lakini TRA wameniwekea makadilio ya kodi ambayo inalipwa kila baada ya miezi mitatu,yaani mara nne kwa mwaka. Je,kuna shida yoyote hapo? Kwasabab kama kodi nalipa kila kitu ila shida ndyo machine yao kuitumia mtihani.