Kuna shida yoyote kama efd machine haitumiki kila siku ikiwa TRA wamenikadilia kodi ya kulipa kwa mwaka?

Kuna shida yoyote kama efd machine haitumiki kila siku ikiwa TRA wamenikadilia kodi ya kulipa kwa mwaka?

Upo sahihi kabisa, lakini mm mwenyewe nimeona watu wanaosumbuliwa na issue kama za huyu lakini mimi sihitaji hata hamsini yake ndo maana sikuweka namba ama mawasiliano mkuu! Ila ni kwenye kumsaidia tuu..... Nipo humbled

Tunatofautiana kwenye namna ya kuelewa vitu mkuu 👊
Kama upo hivyo basi big up mkuu. Sipendi watu wenye kitumia vifulsa vya kifalafala kama hivi
 
Kama upo hivyo basi big up mkuu. Sipendi watu wenye kitumia vifulsa vya kifalafala kama hivi
Nashukuru mkuu, naelewa changamoto zao hasa Kodi afu mm nimwambie anipe hela nimtafutie consultant then bado naye ampige vizinga, hapana afu kwenye maisha naamini kwamba msaidie mtu Bure ama elewa Hali anayopitia ndipo umsaidie wengi tunasema nilmwonea huruma, hiyo naona haipo sawa... msaidie fanya issue zako nyingn na sio kutumia hisia na kumkandamiza zaidi.....

Tuzidi kujifunza mkuu
 
Back
Top Bottom